EU wajadili uanachama wa Uingereza
Viongozi wa muungano wa Ulaya wamesema wako tayari kufikia mapatano ya kuiwezesha Uingereza kusalia katika Muungano huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Mpinzani wa Lipumba afukuzwa uanachama
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa chama hicho.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho cha Baraza Kuu...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Mbunge ajivua uanachama Chadema
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Palestina yapewa uanachama wa ICC
10 years ago
Habarileo02 Jun
Diwani NCCR afukuzwa uanachama
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Diwani wake wa Kata ya Kasulu Mjini, Isack Rashid kikimtuhumu kutoa siri za chama na kuzusha migogoro kati yake na viongozi wenzake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDKe6I-CwQOY1GMcj7wss3ddXq*S-AM5hnd8lgA-okwpA3gVDpX6SH4-IEM4VEo3mI1PZpjdFxpiI7l0ol*TBGuT/steven.jpg)
STEVE NYERERE AFUTWA UANACHAMA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mwapachu.jpg)
MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM
10 years ago
Mtanzania07 May
Mrema avuliwa uanachama TLP
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.
Akizungumza jana, jijini Dar es Salaam na MTANZANIA Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joram Kinanda alisema kuwa kamati hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia kwa kina malalamiko yaliyokuwa yakimuhusu Mrema, ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo.
Mwenyekiti huyo alisema kuwa mbali na Mrema wengine waliovuliwa uanachama ni Hamisi...
10 years ago
MichuziSIJAFUKUZWA UANACHAMA WA TLP-MREMA
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
MWENYEKITI wa Chama cha Tnzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema,amesema hajafukuzwa unachama katika chama hicho.
Mrema aliyasema hayo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W0gvBtAUuaCWhbS0gJ4NIb2ybZy-qdNQCrE-ZfByZ7pc7nJJTZcgwiHhec3jxH8oJIIyAUL2rEM3visNbZg5I2d/wambura.jpg)
Wambura afukuzwa uanachama Simba