Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrema avuliwa uanachama TLP

mremaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.
Akizungumza jana, jijini Dar es Salaam na MTANZANIA Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joram Kinanda alisema kuwa kamati hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia kwa kina malalamiko yaliyokuwa yakimuhusu Mrema, ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo.
Mwenyekiti huyo alisema kuwa mbali na Mrema wengine waliovuliwa uanachama ni Hamisi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SIJAFUKUZWA UANACHAMA WA TLP-MREMA


Mwenyekiti   wa chama cha Tnzania Labour Part (TLP) Agustino Mrema akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo)   katika mkutano uiliofanyika kwenye ukumbi wa Idara ya Habari MELEZO kuhusu kukanusha  kuwa yeye amefukuzwa TLP,Kushoto Mkurugenzi wa Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo,Kulia ni Katibu Mkuu wa TLP,Nancy Mrikariya.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
MWENYEKITI wa Chama cha Tnzania Labour Party (TLP) Agustino Mrema,amesema hajafukuzwa unachama katika chama hicho.
Mrema aliyasema hayo...

 

10 years ago

GPL

ZITTO KABWE AVULIWA UANACHAMA CHADEMA

Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mhe. Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe. "Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

ZITTO AVULIWA RASMI UANACHAMA CHADEMA

Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo atakuwa amejiondoa uanachama wake, kwahiyo natangaza rasmi rasmi Zitto Kabwe sio mwanachama tena wa CHADEMA. Mwanasheria mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto baada ya mahakama kuu ya Tanzania kutupilia mbali shauri lake.
Katika maamuzi hayo ya Mahakama kuu ya Tanzania leo...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto Kabwe avuliwa rasmi uanachama chadema

Tundu Lisu atangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa Zitto Kabwe chadema

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe Bunge la Katiba avuliwa uanachama Z,bar

Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia Chama cha Allience for Tanzania Farmers Party (AFP), Rashid Yussuf Mchenga amevuliwa uanachama kwa madai ya kughushi saini ya Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Shaibu Masoud Salum. Uamuzi huo ulitangazwa juzi na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Said Soud Said.

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wamvuruga Mrema wa TLP

mremaNa Safina Sarwatt, Moshi

MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema, amesema mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hana ubavu wa kushinda katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu.

Alisema mgombea huyo kupitia  Ukawa hawezi kushinda nafasi hiyo kwa kuwa hana uzoefu na siasa za upinzani na ni CCM “B”.

Mrema aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa kampeni ya mgombea urais wa TLP, Maximillan Lyimo, iliyofanyika...

 

10 years ago

Michuzi

SING’OKI NG’O TLP- MREMA

Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party TLP,Agustine Lyatonga Mrema amesema hangoki ng’o  katika nafasi ya uenyekiti TLP.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Magomeni jijini Dar es salaam leo,Mrema amesema hajavunja katiba ya TLP hivyo yeye ni mwenyekiti halali.
Mrema amesema watu wanampiga majungu wakiwemo na UKAWA katika kuhakikisha TLP inasambaratika ,lakini hawataweza pamoja na kikundi hicho cha panya road.
Amesema kikundi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanachama TLP walia na Mrema

WANACHAMA wa Tanzania Labour Party (TLP), wamemjia juu Mwenyekiti wao, Augustino Mrema, kwa madai anang’ang’ania madaraka huku akishindwa kuitisha uchaguzi mkuu kama katiba yao inavyoeleza. Kutokana na hali hiyo, wanachama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani