Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpinzani wa Lipumba afukuzwa uanachama

lipumbaNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa chama hicho.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho cha Baraza Kuu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Diwani NCCR afukuzwa uanachama

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Diwani wake wa Kata ya Kasulu Mjini, Isack Rashid kikimtuhumu kutoa siri za chama na kuzusha migogoro kati yake na viongozi wenzake.

 

11 years ago

GPL

Wambura afukuzwa uanachama Simba

Mwanachama mkongwe wa Simba, Michael Wambura. Nicodemus Jonas na Sweetbert Lukonge
JUMLA ya wanachama 800 wa Simba, jana walimvua rasmi uanachama, mwanachama mkongwe, Michael Wambura pamoja na wenzake 70 kwa kosa la kufungua kesi katika mahakama za kiraia. Wanachama hao waliridhia kufutwa uanachama huo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay Dar. Wambura ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais

Baada ya jitihada zake za kumuondoa Profesa Ibrahim Lipumba kwenye uenyekiti wa chama cha CUF, Chifu Lutayosa Yemba sasa ameanza safari mpya ya kuelekea Ikulu, akipeperusha bendera ya Alliance for Democratic Change (ADC).

 

10 years ago

GPL

MUME AFUKUZWA UKWENI!

Richard Bukos, Dar
HII ni dunia ya mambo mengi! Mkazi wa Kigogo -Luhanga jijini Dar, aliyefahamika kwa jina la baba Juma, Jumamosi iliyopita alijikuta akitimuliwa ukweni sanjari na mkewe, Mwanahamisi Njama kwa madai amekuwa akishindwa kutoa ushirikiano wakati wa kuchangia chakula kwenye familia ya mkewe. Baba Juma akitimuliwa ukweni. Katika sakata hilo, baba Juma inasemekana amekuwa akiishi ukweni hapo ambapo masuala ya msosi...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kocha Ndanda FC afukuzwa

TIMU ya Ndanda FC ya Mtwara imekatisha mkataba na kocha wake Jumanne Charles baada ya kushindwa kufikia vigezo vya Shirikisho la Soka Afrika (Caf).

Charles ambaye aliajiriwa  klabu hiyo baada ya msimu uliopita wa ligi kuu kumalizika, alichukua mikoba ya Meja Abdul Mingange ambaye alimaliza mkataba wake.

Ofisa Habari wa Ndanda FC Idrissa Bandari alisema kuwa klabu yao imeamua kuachana na Charles baada ya kupata walaka kutoka Shirikisho la Soka Tanzania ambao ulizitaka klabu kuwa na...

 

5 years ago

Michuzi

MEMBE AFUKUZWA CCM


WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amevuliwa uanachama pamoja na madaraka na  kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini 
Hayo ameyasema, Katibu mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole leo Februari 28, 2020 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ndogo za Chama cha Mapinduzi (CCM),Lumumba jijini Dar es Salaam, wakati Membe akivuliwa uanachama, katibu mkuu wa zamani wa chama cha CCM, Abdulrahman Kinana amepewa onyo na kutokugombea  nafasi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ello yawa mpinzani wa Facebook

Mtandao wa kijamii wa Ello unapokea maombi 31,000 kila saa moja hali ambayo inaibua ushindani mkubwa kwa mtandao wa Facebook.

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi ambeza mpinzani wake

lukuviNA RAYMOND MINJA, IRINGA

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ismani kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), William Lukuvi, amembeza mpinzani wake anayegombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Patrick Sosopi, kuwa hawezi kuvaa viatu vyake.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa vijiji vya Igingilanyi, Kising’a, Matembo na Ilambilole vilivyopo Isimani.

Alisema viatu vyake havimtoshi pia hana staha ya kuwashawishi wananchi kuwaletea maendeleo na...

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi apata mpinzani jimboni

William LukuviNA RAYMOND MINJA, IRINGA
JOTO la uchaguzi limeendelea kupanda baada ya mtaalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhandisi Sebastiani Kayoyo (39) kutangaza nia ya kuwani ubunge katika
Jimbo la Isimani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Isimani linaongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza nia yake juzi, Mhandisi Kayoyo alisema amepania kuhakikisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani