Mpinzani wa Lipumba afukuzwa uanachama
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa chama hicho.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho cha Baraza Kuu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Jun
Diwani NCCR afukuzwa uanachama
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Diwani wake wa Kata ya Kasulu Mjini, Isack Rashid kikimtuhumu kutoa siri za chama na kuzusha migogoro kati yake na viongozi wenzake.
11 years ago
GPL
Wambura afukuzwa uanachama Simba
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Chifu Yemba, mpinzani wa Lipumba anayewania urais
10 years ago
GPL
MUME AFUKUZWA UKWENI!
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Kocha Ndanda FC afukuzwa
TIMU ya Ndanda FC ya Mtwara imekatisha mkataba na kocha wake Jumanne Charles baada ya kushindwa kufikia vigezo vya Shirikisho la Soka Afrika (Caf).
Charles ambaye aliajiriwa klabu hiyo baada ya msimu uliopita wa ligi kuu kumalizika, alichukua mikoba ya Meja Abdul Mingange ambaye alimaliza mkataba wake.
Ofisa Habari wa Ndanda FC Idrissa Bandari alisema kuwa klabu yao imeamua kuachana na Charles baada ya kupata walaka kutoka Shirikisho la Soka Tanzania ambao ulizitaka klabu kuwa na...
5 years ago
Michuzi
MEMBE AFUKUZWA CCM

WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amevuliwa uanachama pamoja na madaraka na kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini
Hayo ameyasema, Katibu mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole leo Februari 28, 2020 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ndogo za Chama cha Mapinduzi (CCM),Lumumba jijini Dar es Salaam, wakati Membe akivuliwa uanachama, katibu mkuu wa zamani wa chama cha CCM, Abdulrahman Kinana amepewa onyo na kutokugombea nafasi...
11 years ago
BBCSwahili30 Sep
Ello yawa mpinzani wa Facebook
10 years ago
Mtanzania19 Oct
Lukuvi ambeza mpinzani wake
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ismani kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), William Lukuvi, amembeza mpinzani wake anayegombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Patrick Sosopi, kuwa hawezi kuvaa viatu vyake.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa vijiji vya Igingilanyi, Kising’a, Matembo na Ilambilole vilivyopo Isimani.
Alisema viatu vyake havimtoshi pia hana staha ya kuwashawishi wananchi kuwaletea maendeleo na...
10 years ago
Mtanzania25 May
Lukuvi apata mpinzani jimboni
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
JOTO la uchaguzi limeendelea kupanda baada ya mtaalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhandisi Sebastiani Kayoyo (39) kutangaza nia ya kuwani ubunge katika
Jimbo la Isimani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Isimani linaongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza nia yake juzi, Mhandisi Kayoyo alisema amepania kuhakikisha...