Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ello yawa mpinzani wa Facebook

Mtandao wa kijamii wa Ello unapokea maombi 31,000 kila saa moja hali ambayo inaibua ushindani mkubwa kwa mtandao wa Facebook.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’

Facebook inaanzisha mtandao wa kijamii kwaajili ya wafanyakazi kuwasiliana na kushirikiana kuhusiana na masuala ya kazi. Facebook at Work utaonekana vile vile kama Facebook ya kawaida, lakini watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengenesha akaunti zao binafsi. Watumiaji watakuwa na uwezo wa kuchat na wenzao, kutengeneza mtandao wa kazi na kushare nyaraka mbalimbali. Mtandao huo ambao […]

 

10 years ago

Mtanzania

Dayna: Hakuna mpinzani wa Kanumba

Kanumba (61)_595NA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dyana Nyange ‘Dayna’, amesema hadi sasa hakuna mwigizaji wa filamu ambaye ameweza kufikia kiwango cha marehemu Steven Kanumba.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Dayna alisema tangu kufariki kwa Kanumba, tasnia ya filamu imebadilika na kuwa ya kawaida sana.
“Hakuna aliyeweza kufikia kiwango cha Kanumba, licha ya wengi wao kujituma na kujitahidi kufanya kazi na wasanii kutoka nje ya nchi,” alisema Dayna.
Mwanadada huyo aliendelea kusema ni...

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi ambeza mpinzani wake

lukuviNA RAYMOND MINJA, IRINGA

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ismani kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), William Lukuvi, amembeza mpinzani wake anayegombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Patrick Sosopi, kuwa hawezi kuvaa viatu vyake.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa vijiji vya Igingilanyi, Kising’a, Matembo na Ilambilole vilivyopo Isimani.

Alisema viatu vyake havimtoshi pia hana staha ya kuwashawishi wananchi kuwaletea maendeleo na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dayna: Hakuna mpinzani wa Kanumba

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Dyana Nyange ‘Dayna’, amesema hadi sasa hakuna mwigizaji wa filamu ambaye ameweza kufikia kiwango cha marehemu Steven Kanumba.

Akizungumza na Gazeti la Mtanzania, Dayna alisema tangu kufariki kwa Kanumba, tasnia ya filamu imebadilika na kuwa ya kawaida sana.

“Hakuna aliyeweza kufikia kiwango cha Kanumba, licha ya wengi wao kujituma na kujitahidi kufanya kazi na wasanii kutoka nje ya nchi,” alisema Dayna.

Mwanadada huyo aliendelea kusema ni vizuri...

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi apata mpinzani jimboni

William LukuviNA RAYMOND MINJA, IRINGA
JOTO la uchaguzi limeendelea kupanda baada ya mtaalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhandisi Sebastiani Kayoyo (39) kutangaza nia ya kuwani ubunge katika
Jimbo la Isimani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Isimani linaongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza nia yake juzi, Mhandisi Kayoyo alisema amepania kuhakikisha...

 

10 years ago

Mtanzania

Mpinzani wa Lipumba afukuzwa uanachama

lipumbaNa Aziza Masoud, Dar es Salaam
BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana, alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa chama hicho.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya kikao hicho cha Baraza Kuu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezaji aliyevunja mpinzani mguu afungwa

Mchezaji soka mmoja nchini Uingereza amefungwa jela mwaka mmoja kwa kosa la kumvunja mguu mchezaji wa klabu pinzani Manchester.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpinzani wa Obama mwaka 2012 ajiondoa

Mitt Romney, aliyeshindwa na rais Obama katika uchaguzi wa mwaka 2012 ameamua kutowania tena wadhfa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani