Lukuvi apata mpinzani jimboni
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
JOTO la uchaguzi limeendelea kupanda baada ya mtaalamu wa kilimo cha umwagiliaji kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhandisi Sebastiani Kayoyo (39) kutangaza nia ya kuwani ubunge katika
Jimbo la Isimani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Isimani linaongozwa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza nia yake juzi, Mhandisi Kayoyo alisema amepania kuhakikisha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Lukuvi ambeza mpinzani wake
NA RAYMOND MINJA, IRINGA
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Ismani kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), William Lukuvi, amembeza mpinzani wake anayegombea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Patrick Sosopi, kuwa hawezi kuvaa viatu vyake.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa vijiji vya Igingilanyi, Kising’a, Matembo na Ilambilole vilivyopo Isimani.
Alisema viatu vyake havimtoshi pia hana staha ya kuwashawishi wananchi kuwaletea maendeleo na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XebGRlUrV2Y/ViCL2Ma9aLI/AAAAAAAAAXU/l9RcaBo8Lnw/s72-c/images.jpg)
LUKUVI AMEMBEZA MPINZANI WAKE KATIKA JIMBO LA ISMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-XebGRlUrV2Y/ViCL2Ma9aLI/AAAAAAAAAXU/l9RcaBo8Lnw/s640/images.jpg)
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi Na fredy mgunda,IsmaniMGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi amembeza mgombea mwenzake anayegombea ubunge kwenye jimbo hilo kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema Patrick Olle Sosopi na kusema kuwa Sosopi hata afanye hawezi kuvaa viatu vyake kwa kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kauli ya Lukuvi aliitoa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa...
9 years ago
Dewji Blog16 Oct
Williamu Lukuvi amembeza mpinzani wake katika jimbo la Ismani
Mgombea ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi.
Na Fredy Mgunda, Ismani
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi amembeza mgombea mwenzake anayegombea ubunge kwenye jimbo hilo kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema Patrick Olle Sosopi na kusema kuwa Sosopi hata afanye hawezi kuvaa viatu vyake kwa kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kauli ya Lukuvi aliitoa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Dk Shein apata mpinzani wa urais Zanzibar
10 years ago
Mwananchi01 May
Mbowe apata mpinzani wa ubunge Hai
10 years ago
MichuziDK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa apata mpinzani jimbo la Bagamoyo
Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe.
Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe (katikati), akizungumza na makada na wanahabari wakati akitangaza nia mjini Bagamoyo mkoani Pwani Pwani jana. Kushoto ni Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe na Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga.
Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa Sera...
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Mgimwa apata mpinzani mpya jimbo la KalengaÂ
Na Elias Msuya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimepata mgombea mpya atakayepambana na mgombea wa CCM katika jimbo la Kalenga katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Jimbo hilo linaloshikiliwa na Godfrey Mgimwa aliyeshinda uchaguzi mdogo Machi 2014 baada ya baba yake mzazi, Dk. William Mgimwa, kufariki dunia.
Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kidamali, Kalenga Iringa vijijini, mgombea mpya wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Mussa Mdede...
10 years ago
GPLDK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO