Dk. Shukuru Kawambwa apata mpinzani jimbo la Bagamoyo
Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe.
Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe (katikati), akizungumza na makada na wanahabari wakati akitangaza nia mjini Bagamoyo mkoani Pwani Pwani jana. Kushoto ni Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe na Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga.
Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa Sera...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
GPLDK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Mgimwa apata mpinzani mpya jimbo la KalengaÂ
Na Elias Msuya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimepata mgombea mpya atakayepambana na mgombea wa CCM katika jimbo la Kalenga katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Jimbo hilo linaloshikiliwa na Godfrey Mgimwa aliyeshinda uchaguzi mdogo Machi 2014 baada ya baba yake mzazi, Dk. William Mgimwa, kufariki dunia.
Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kidamali, Kalenga Iringa vijijini, mgombea mpya wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Mussa Mdede...
10 years ago
IPPmedia14 Aug
Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
Thousands of students from at least seven higher learning institutions are planning demonstrate tomorrow in Dar es Salaam, a move meant to push the Prime Minister's Office to authorise a 6.6bn/- budget allocation for their practical attachment funding.
11 years ago
IPPmedia22 May
Education and Vocational Training minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
More than 24,000 students (equivalent to 6 percent) who sat for last year's Form Four exams are yet to receive their results after they failed to pay fees for the exams. Education and Vocational Training minister Dr Shukuru Kawambwa revealed this in Dodoma ...
10 years ago
IPPmedia08 Sep
The Minister for Education and Vocational Training, Dr. Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
At the start of this month, it was reported in the media including this newspaper that the government has reversed the policy of producing and publishing text books for education retaking over the activities from private firms over claims that the latter have failed ...
10 years ago
IPPmedia26 Oct
Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
Education stakeholders have expressed concern over the government's decision to release a new education policy, saying it is an outdated document. They argue that stakeholders started working on the policy back in 2006 when a countrywide survey was ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X_8l9NLKlEw/U6soAFSMllI/AAAAAAAFs7g/FLKxzcmBeyk/s72-c/wambwa.jpg)
TAARIFA YA KANUSHO LA KUFARIKI KWA MBUNGE SHUKURU KAWAMBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X_8l9NLKlEw/U6soAFSMllI/AAAAAAAFs7g/FLKxzcmBeyk/s1600/wambwa.jpg)
UKWELI
Mheshimiwa Shukuru Jumanne Kawambwa yupo Nchini Canada Akitimiza majukumu yake. Hivyo Watanzania na...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!
Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...