Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Shukuru Kawambwa apata mpinzani jimbo la Bagamoyo

Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe.

2

Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe (katikati), akizungumza na makada na wanahabari wakati akitangaza nia mjini Bagamoyo mkoani Pwani Pwani jana. Kushoto ni Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe na Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga.

Meneja wa  Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.

Katibu wa Sera...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO

 Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe.Meneja wa  Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo. Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga(kulia), akizungumza kwenye mkutano huo. Mzee Abdallah Ngumbe akizungumza katika mkutano huo na wakati akimpa ushauri mbalimbali mtangaza nia huyo.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

GPL

DK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO‏

 Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe.  Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe (katikati), akizungumza na makada na wanahabari wakati akitangaza nia mjini Bagamoyo mkoani Pwani Pwani jana. Kushoto ni Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe na Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga.… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Mgimwa apata mpinzani mpya jimbo la Kalenga 

M2Na Elias Msuya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo kimepata mgombea mpya atakayepambana na mgombea wa CCM katika jimbo la Kalenga katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Jimbo hilo linaloshikiliwa na Godfrey Mgimwa aliyeshinda uchaguzi mdogo Machi 2014 baada ya baba yake mzazi, Dk. William Mgimwa, kufariki dunia.

Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kidamali, Kalenga Iringa vijijini, mgombea mpya wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Mussa Mdede...

 

10 years ago

IPPmedia

Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa


IPPmedia
Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
Thousands of students from at least seven higher learning institutions are planning demonstrate tomorrow in Dar es Salaam, a move meant to push the Prime Minister's Office to authorise a 6.6bn/- budget allocation for their practical attachment funding.

 

11 years ago

IPPmedia

Education and Vocational Training minister, Dr Shukuru Kawambwa


IPPmedia
Education and Vocational Training minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
More than 24,000 students (equivalent to 6 percent) who sat for last year's Form Four exams are yet to receive their results after they failed to pay fees for the exams. Education and Vocational Training minister Dr Shukuru Kawambwa revealed this in Dodoma ...

 

10 years ago

IPPmedia

The Minister for Education and Vocational Training, Dr. Shukuru Kawambwa


IPPmedia
The Minister for Education and Vocational Training, Dr. Shukuru Kawambwa
IPPmedia
At the start of this month, it was reported in the media including this newspaper that the government has reversed the policy of producing and publishing text books for education retaking over the activities from private firms over claims that the latter have failed ...

 

10 years ago

IPPmedia

Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa


IPPmedia
Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
Education stakeholders have expressed concern over the government's decision to release a new education policy, saying it is an outdated document. They argue that stakeholders started working on the policy back in 2006 when a countrywide survey was ...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KANUSHO LA KUFARIKI KWA MBUNGE SHUKURU KAWAMBWA

Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea Mwanza.

UKWELI
Mheshimiwa Shukuru Jumanne Kawambwa yupo Nchini Canada Akitimiza majukumu yake. Hivyo Watanzania na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!

Waziri-wa-Elimu-na-Mafunzo-ya-Ufundi-Dkt.-Shukuru-Kawambwa.

Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani