Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!
Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tPJN3F0IlaA/VTwZIrTHpjI/AAAAAAAHTUI/z47uxcm8tTs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa akutana na Viongozi wa Elimu nchini Singapore
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X_8l9NLKlEw/U6soAFSMllI/AAAAAAAFs7g/FLKxzcmBeyk/s72-c/wambwa.jpg)
TAARIFA YA KANUSHO LA KUFARIKI KWA MBUNGE SHUKURU KAWAMBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X_8l9NLKlEw/U6soAFSMllI/AAAAAAAFs7g/FLKxzcmBeyk/s1600/wambwa.jpg)
UKWELI
Mheshimiwa Shukuru Jumanne Kawambwa yupo Nchini Canada Akitimiza majukumu yake. Hivyo Watanzania na...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa aipongeza Shule ya sekondari ” Imperial” kwa jinsi ilivyojipanga kutoa elimu bora
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwRBb2OprEk/VItOQzKa4PI/AAAAAAAG23s/QS4Prxq0XAk/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q8cmQgYykoU/VItORO4d98I/AAAAAAAG23o/zJ2v5sikeOw/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s72-c/DK%2BSHEIN.jpg)
DKT SHEIN AMTUMIA SALAMU ZA RAMBI RAMBI RAIS MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s640/DK%2BSHEIN.jpg)
Balozi Mahiga alifariki nyumbani wake Mjini Dodoma baada ya kuugua hafla ambapo alipofikishwa hospitali tayari alikwishapoteza uhai na kuzikwa jana Mkoani Iringa.
Katika salamu hizo Dk. Shein alisema amepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kifo cha...
10 years ago
IPPmedia14 Aug
Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
Thousands of students from at least seven higher learning institutions are planning demonstrate tomorrow in Dar es Salaam, a move meant to push the Prime Minister's Office to authorise a 6.6bn/- budget allocation for their practical attachment funding.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1LC03eUFiY/XqvaFpPXxsI/AAAAAAALovo/Topw_h8PA_IjZ5WscynYMFRmGPrIqv3lwCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imepokea kwa mshituko mkubwa taarifa za kifo cha aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mb) kilichotokea leo alfajiri Mei 01, 2020 Jijini Dodoma.
Tume inatoa pole kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuondokewa na kiongozi mchapakazi, mwadilifu, mzalendo na mwanadiplomasia mahiri aliyeiwakilisha na kuipigania Tanzania katika nyanja za Kimataifa...