TAARIFA YA KANUSHO LA KUFARIKI KWA MBUNGE SHUKURU KAWAMBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X_8l9NLKlEw/U6soAFSMllI/AAAAAAAFs7g/FLKxzcmBeyk/s72-c/wambwa.jpg)
Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea Mwanza.
UKWELI
Mheshimiwa Shukuru Jumanne Kawambwa yupo Nchini Canada Akitimiza majukumu yake. Hivyo Watanzania na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Kufuatia taarifa za uvumi wa kifo cha Waziri wa Elimu Shukuru Kawambwa, ukweli uko hapa!
Taarifa hii imetoka kwenye akaunti ya facebook ya Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na inasomeka kama ifuatavyo….Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea...
11 years ago
Dewji Blog09 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa aipongeza Shule ya sekondari ” Imperial” kwa jinsi ilivyojipanga kutoa elimu bora
Waziri wa Elimu na Mafunzo, Dr. Shukuru Kawambwa, jana Tarehe 7 July-2014, alitembelea maenesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (TANTRADE) , yajulikanayo kama maonesho ya Saba Saba, na kutembelea Banda la Shule ya Sekondari Imperial, Dr. Kawambwa ametoa pongezi kwa uongozi na waalimu wa Shule ya Sekondari Imperial, kwa Jinsi ilivyojipanga kuhakikisha inatoa Elimu Bora Nchini, inayokidhi viwango vya Kimataifa, kwa gharama nafuu.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...
10 years ago
IPPmedia14 Aug
Education Minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
Thousands of students from at least seven higher learning institutions are planning demonstrate tomorrow in Dar es Salaam, a move meant to push the Prime Minister's Office to authorise a 6.6bn/- budget allocation for their practical attachment funding.
10 years ago
MichuziDK.SHUKURU KAWAMBWA APATA MPINZANI JIMBO LA BAGAMOYO
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
IPPmedia26 Oct
Minister for Education and Vocational Training, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
Education stakeholders have expressed concern over the government's decision to release a new education policy, saying it is an outdated document. They argue that stakeholders started working on the policy back in 2006 when a countrywide survey was ...
10 years ago
IPPmedia08 Sep
The Minister for Education and Vocational Training, Dr. Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
At the start of this month, it was reported in the media including this newspaper that the government has reversed the policy of producing and publishing text books for education retaking over the activities from private firms over claims that the latter have failed ...
11 years ago
IPPmedia22 May
Education and Vocational Training minister, Dr Shukuru Kawambwa
IPPmedia
IPPmedia
More than 24,000 students (equivalent to 6 percent) who sat for last year's Form Four exams are yet to receive their results after they failed to pay fees for the exams. Education and Vocational Training minister Dr Shukuru Kawambwa revealed this in Dodoma ...
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Dk. Shukuru Kawambwa apata mpinzani jimbo la Bagamoyo
Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe.
Mtangaza nia ya Ubunge Jimbo la Bagamoyo, Mathew Juma Salum Yangwe (katikati), akizungumza na makada na wanahabari wakati akitangaza nia mjini Bagamoyo mkoani Pwani Pwani jana. Kushoto ni Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe na Katibu wa Sera na Mipango wa Mtangania huyo, Paul Kassanga.
Meneja wa Kampeni wa Mtangaza nia huyo, James Mbuligwe (kushoto), akizungumza katika mkutano huo.
Katibu wa Sera...
11 years ago
Michuzi08 Jul
WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO, Dr. SHUKURU KAWAMBWA, AIPONGEZA SHULE YA SEKONDARI " IMPERIAL" KWA JINSI ILIVYO JIPANGA KUTOA ELIMU BORA.
Shule ya Sekondari Imperial, iko Msolwa-Chalinze.
Shule imejengwa...