Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Ndanda FC afukuzwa

TIMU ya Ndanda FC ya Mtwara imekatisha mkataba na kocha wake Jumanne Charles baada ya kushindwa kufikia vigezo vya Shirikisho la Soka Afrika (Caf).

Charles ambaye aliajiriwa  klabu hiyo baada ya msimu uliopita wa ligi kuu kumalizika, alichukua mikoba ya Meja Abdul Mingange ambaye alimaliza mkataba wake.

Ofisa Habari wa Ndanda FC Idrissa Bandari alisema kuwa klabu yao imeamua kuachana na Charles baada ya kupata walaka kutoka Shirikisho la Soka Tanzania ambao ulizitaka klabu kuwa na...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Taifa Stars afukuzwa

Kipigo cha magoli 3-0 ilichokipata timu ya taifa ya Tanzania , kimesababisha kufukuzwa kwa kocha wa timu hiyo, Mdachi Mart Nooij.

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Azam aipania Ndanda

Stewart-HallNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema atahakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Ndanda ya Mtwara kesho baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Yanga Jumamosi iliyopita.

Hall aliyepania kushinda mechi kumi za kwanza za Ligi Kuu, amesema mechi dhidi ya Yanga imevuruga hesabu zake, lakini ameyafanyia kazi makosa yaliyowagharimu ili kuendeleza wimbi la ushindi.

Azam ambayo msimu uliopita ilifungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa Nangwanda...

 

9 years ago

Bongo5

Arturo Vidal afukuzwa na kocha wa timu ya taifa ya Chile kwa ulevi

Mchezaji wa timu ya taifa ya Chile na klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani, Arturo Vidal amefukuzwa na kocha wake, Jorge Sampaoli. Timu ya taifa ya Chile ipo kwenye maandalizi ya kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Paraguay. Wachezaji wote wapo kambini na wanaendelea na mazoezi lakini Vidal aliripoti kwenye kambi ya timu ya hiyo […]

 

10 years ago

Vijimambo

KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE

Kocha simba akimpa mkono kocha wa YangaHans ameshindwa kupeana mkono wa pongezi na kocha mwenzake kutokana na kikosi chake kukubali kupokea kichapo kutoka kwa wekundu wa msimbazi lakini katika hali ya kawaida mchezo ukimalizika makocha upeana mkono kama ishara ya kukubali matokeo (fair play) na kocha msaidizi wa yanga Boniface Mkwasa ametoa mkono huku akiwa ameangalia pembeni.Goran akimwambia basi samahani kwa kukufunga wewe nipe mkono tuBaada ya mchezo kocha aliwashukuru wachezaji wake kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MEMBE AFUKUZWA CCM


WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amevuliwa uanachama pamoja na madaraka na  kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) hapa nchini 
Hayo ameyasema, Katibu mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole leo Februari 28, 2020 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ndogo za Chama cha Mapinduzi (CCM),Lumumba jijini Dar es Salaam, wakati Membe akivuliwa uanachama, katibu mkuu wa zamani wa chama cha CCM, Abdulrahman Kinana amepewa onyo na kutokugombea  nafasi...

 

10 years ago

GPL

MUME AFUKUZWA UKWENI!

Richard Bukos, Dar
HII ni dunia ya mambo mengi! Mkazi wa Kigogo -Luhanga jijini Dar, aliyefahamika kwa jina la baba Juma, Jumamosi iliyopita alijikuta akitimuliwa ukweni sanjari na mkewe, Mwanahamisi Njama kwa madai amekuwa akishindwa kutoa ushirikiano wakati wa kuchangia chakula kwenye familia ya mkewe. Baba Juma akitimuliwa ukweni. Katika sakata hilo, baba Juma inasemekana amekuwa akiishi ukweni hapo ambapo masuala ya msosi...

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Brendan Rodgers afukuzwa Liverpool

Klabu ya soka ya Liverpool ya nchini Uingereza imemfukuza Meneja wake Brendan Rodgers baada ya matokeo mabaya ya muda mrefu.

 

10 years ago

Habarileo

Diwani NCCR afukuzwa uanachama

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Diwani wake wa Kata ya Kasulu Mjini, Isack Rashid kikimtuhumu kutoa siri za chama na kuzusha migogoro kati yake na viongozi wenzake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani