Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Azam aipania Ndanda

Stewart-HallNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema atahakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Ndanda ya Mtwara kesho baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Yanga Jumamosi iliyopita.

Hall aliyepania kushinda mechi kumi za kwanza za Ligi Kuu, amesema mechi dhidi ya Yanga imevuruga hesabu zake, lakini ameyafanyia kazi makosa yaliyowagharimu ili kuendeleza wimbi la ushindi.

Azam ambayo msimu uliopita ilifungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa Nangwanda...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Kocha Ndanda FC afukuzwa

TIMU ya Ndanda FC ya Mtwara imekatisha mkataba na kocha wake Jumanne Charles baada ya kushindwa kufikia vigezo vya Shirikisho la Soka Afrika (Caf).

Charles ambaye aliajiriwa  klabu hiyo baada ya msimu uliopita wa ligi kuu kumalizika, alichukua mikoba ya Meja Abdul Mingange ambaye alimaliza mkataba wake.

Ofisa Habari wa Ndanda FC Idrissa Bandari alisema kuwa klabu yao imeamua kuachana na Charles baada ya kupata walaka kutoka Shirikisho la Soka Tanzania ambao ulizitaka klabu kuwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Azam FC yaifuata Ndanda

MABINGWA wa soka Afrika Mashariki na Kati, Azam FC leo wanatarajia kwenda Mtwara kuifuata Ndanda ya huko kwa ajili ya mechi ya kujipima nguvu.

 

10 years ago

Mtanzania

Rekodi ya Ndanda yaitesa Azam

STEWART HALLNA ABDUCADO EMMANUEL, MTWARA

LICHA ya kuwa na matokeo mazuri hadi sasa, Mabingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup), Azam FC, wameingiwa hofu katika mchezo wao wa leo dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.

Kocha wa Azam, Stewart Hall, ameliambia gazeti hili kuwa Ndanda si timu ya kubeza hasa kutokana na rekodi yake msimu huu ya kutopoteza mchezo wowote katika uwanja wao wa nyumbani hivyo watakuwa wamepania kuendeleza rekodi hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda

WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Azam yaachana na kocha

ZIKIWA zimesalia takriban siku mbili kabla ya mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga, Azam imeachana na kocha msaidizi George Nsimbe baada ya kufikia makubaliano. Akizungumza jijini jana, Ofisa habari wa Azam FC, Jafar Iddi alithibitisha kuondoka kwa Nsimbe na kusema nafasi yake imechukuliwa na Romano aliyekuwa timu B.

 

11 years ago

Mwananchi

Sturridge aipania Uruguay

Mshambuliaji wa England, Daniel Sturridge anajiandaa kufanya kila kitu kuhakikisha hawatolewi mapema katika fainali za Kombe la Dunia kesho wakati watakapocheza mechi ya ‘kufa au kupona’ dhidi ya Uruguay.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Azam aenda likizo

Kocha mpya wa Azam, FC Joseph Omog ameondoka nchini mwishoni wa wiki kuelekea Cameroon na kumwachia majukumu msaidizi wake Kali Ongala.

 

10 years ago

Habarileo

Kocha Azam alia na waamuzi

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwa makini na waamuzi akidai wanaharibu mechi za Ligi Kuu kwa kuzipendelea baadhi ya timu. Hall aliyasema hayo baada ya mchezo dhidi ya Yanga juzi uliomalizika kwa sare ya 1-1.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha aipa nafasi Azam

Kocha wa klabu ya TP Mazembe, Carteron Patrice amesema kama Azam itaendelea na kasi iliyoionyesha katika mchezo wao wa juzi, wataiondosha El -Merrikh ya Sudan katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani