Kocha Azam aipania Ndanda
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema atahakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Ndanda ya Mtwara kesho baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Yanga Jumamosi iliyopita.
Hall aliyepania kushinda mechi kumi za kwanza za Ligi Kuu, amesema mechi dhidi ya Yanga imevuruga hesabu zake, lakini ameyafanyia kazi makosa yaliyowagharimu ili kuendeleza wimbi la ushindi.
Azam ambayo msimu uliopita ilifungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa Nangwanda...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Kocha Ndanda FC afukuzwa
TIMU ya Ndanda FC ya Mtwara imekatisha mkataba na kocha wake Jumanne Charles baada ya kushindwa kufikia vigezo vya Shirikisho la Soka Afrika (Caf).
Charles ambaye aliajiriwa klabu hiyo baada ya msimu uliopita wa ligi kuu kumalizika, alichukua mikoba ya Meja Abdul Mingange ambaye alimaliza mkataba wake.
Ofisa Habari wa Ndanda FC Idrissa Bandari alisema kuwa klabu yao imeamua kuachana na Charles baada ya kupata walaka kutoka Shirikisho la Soka Tanzania ambao ulizitaka klabu kuwa na...
10 years ago
Habarileo28 Aug
Azam FC yaifuata Ndanda
MABINGWA wa soka Afrika Mashariki na Kati, Azam FC leo wanatarajia kwenda Mtwara kuifuata Ndanda ya huko kwa ajili ya mechi ya kujipima nguvu.
10 years ago
Mtanzania22 Oct
Rekodi ya Ndanda yaitesa Azam
NA ABDUCADO EMMANUEL, MTWARA
LICHA ya kuwa na matokeo mazuri hadi sasa, Mabingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup), Azam FC, wameingiwa hofu katika mchezo wao wa leo dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.
Kocha wa Azam, Stewart Hall, ameliambia gazeti hili kuwa Ndanda si timu ya kubeza hasa kutokana na rekodi yake msimu huu ya kutopoteza mchezo wowote katika uwanja wao wa nyumbani hivyo watakuwa wamepania kuendeleza rekodi hiyo...
10 years ago
Habarileo20 Oct
Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda
WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo20 Aug
Azam yaachana na kocha
ZIKIWA zimesalia takriban siku mbili kabla ya mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga, Azam imeachana na kocha msaidizi George Nsimbe baada ya kufikia makubaliano. Akizungumza jijini jana, Ofisa habari wa Azam FC, Jafar Iddi alithibitisha kuondoka kwa Nsimbe na kusema nafasi yake imechukuliwa na Romano aliyekuwa timu B.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Sturridge aipania Uruguay
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Kocha wa Azam aenda likizo
10 years ago
Habarileo19 Oct
Kocha Azam alia na waamuzi
KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwa makini na waamuzi akidai wanaharibu mechi za Ligi Kuu kwa kuzipendelea baadhi ya timu. Hall aliyasema hayo baada ya mchezo dhidi ya Yanga juzi uliomalizika kwa sare ya 1-1.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Kocha aipa nafasi Azam