Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC yaifuata Ndanda

MABINGWA wa soka Afrika Mashariki na Kati, Azam FC leo wanatarajia kwenda Mtwara kuifuata Ndanda ya huko kwa ajili ya mechi ya kujipima nguvu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Azam yaifuata Yanga kileleni

Mabingwa wa Kombe la Kagame, Azam wameutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani baada ya kuichapa Mbeya City kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.

 

9 years ago

Mtanzania

Rekodi ya Ndanda yaitesa Azam

STEWART HALLNA ABDUCADO EMMANUEL, MTWARA

LICHA ya kuwa na matokeo mazuri hadi sasa, Mabingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup), Azam FC, wameingiwa hofu katika mchezo wao wa leo dhidi ya Ndanda FC utakaofanyika katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona, mjini hapa.

Kocha wa Azam, Stewart Hall, ameliambia gazeti hili kuwa Ndanda si timu ya kubeza hasa kutokana na rekodi yake msimu huu ya kutopoteza mchezo wowote katika uwanja wao wa nyumbani hivyo watakuwa wamepania kuendeleza rekodi hiyo...

 

9 years ago

Mtanzania

Kocha Azam aipania Ndanda

Stewart-HallNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KOCHA wa timu ya Azam, Stewart Hall, amesema atahakikisha kikosi chake kinapata ushindi dhidi ya Ndanda ya Mtwara kesho baada ya kuambulia pointi moja dhidi ya Yanga Jumamosi iliyopita.

Hall aliyepania kushinda mechi kumi za kwanza za Ligi Kuu, amesema mechi dhidi ya Yanga imevuruga hesabu zake, lakini ameyafanyia kazi makosa yaliyowagharimu ili kuendeleza wimbi la ushindi.

Azam ambayo msimu uliopita ilifungwa bao 1-0 na timu hiyo kwenye Uwanja wa Nangwanda...

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda

WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Colombia yaifuata Brazil

Colombia itaivaa Brazil katika robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuwatupa nje ya mashindano Uruguay na Chile usiku wa kuamkia leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngorongoro yaifuata Nigeria

>Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania U-20, Ngorongoro Heroes imefuzu kucheza raundi ya pili ya kusaka kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana baada ya kuichapa Kenya kwa penalti 4-3 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa yaifuata Stand Utd

MTIBWA Sugar wameifuata Stand United ya Shinyanga kwa ajili ya mchezo wa ligi utakaochezwa keshokutwa. Mchezo huo utachezwa kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga kwa ajili ya kusaka ushindi wa kwanza utakaoziweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.

 

9 years ago

Mwananchi

Stars yaifuata Algeria kwa Jasho

Kipa Ally Mustafa ameibuka shujaa baada ya kuiongoza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kusonga mbele kwa hatua ya pili  ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018, licha ya kufungwa bao 1-0 na Malawi kwenye Uwanja wa Kamuzu Banda.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga sc kamili yaifuata Mgambo Tanga

YangaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

KIKOSI cha timu ya Yanga kinatarajiwa kuelekea jijini Tanga leo, tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mgambo Shooting uliopangwa kufanyika Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani mkoani humo.

Kwa mujibu wa kocha mkuu wa Yanga, Hans Van der Pluijm, ataondoka na wachezaji wote wa timu hiyo na anatarajia kupanga kikosi kitakachoshuka dimbani kesho jioni.

Pluijm alisema kuwa awali walikuwa na mpango wakuweka kambi mjini Bagamoyo, lakini kutokana na sababu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani