Stars yaifuata Algeria kwa Jasho
Kipa Ally Mustafa ameibuka shujaa baada ya kuiongoza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kusonga mbele kwa hatua ya pili ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018, licha ya kufungwa bao 1-0 na Malawi kwenye Uwanja wa Kamuzu Banda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Saikolojia itaibeba Stars kwa Algeria
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WAL8XSbH9ik/VkdjQlcUqjI/AAAAAAAIF0c/bKxxK4gqr9E/s72-c/OTH_3087.jpg)
TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA ALGERIA KWA BAO 2-2
![](http://4.bp.blogspot.com/-WAL8XSbH9ik/VkdjQlcUqjI/AAAAAAAIF0c/bKxxK4gqr9E/s640/OTH_3087.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M91OizY_iU4/Vkdjp3U-MrI/AAAAAAAIF1U/6eEvFKxMKok/s640/_MG_1183.jpg)
10 years ago
GPLWASICHANA WATOANA JASHO AIRTEL RISING STARS
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Mbeya City yaifuata Kagera kwa ‘pipa’
9 years ago
Habarileo13 Oct
Stars yaipania Algeria
KOCHA Msaidizi wa Taifa Stars Hemed Morocco amesema baada ya kuvuka hatua ya kwanza ya michuano ya kufuzu Kombe la Dunia, wanajipanga kuimaliza Algeria katika mchezo ujao.
9 years ago
Habarileo14 Nov
Stars kuishtua Algeria
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo imepania kuizima Algeria katika mchezo wa kusaka kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018, katika mchezo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Stars kuvunja mwiko Algeria
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K4aWZ7XNT4M/Vkl8I98YyUI/AAAAAAAIGGQ/2Mn2q6RcqZI/s72-c/bilda.png)
STARS YAWASILI SALAMA ALGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4aWZ7XNT4M/Vkl8I98YyUI/AAAAAAAIGGQ/2Mn2q6RcqZI/s640/bilda.png)
Msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Athumani Kambi, ambapo jumla ya watu 40 wapo katika mji wa Bilda wakiwemo wachezaji 21 wanaojiandaa kwa mchezo wa marudiano.
Mara baada ya kufika katika uwanja wa ndege Algiers, Stars ilipokelewa na watanzania...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Taifa Stars yaitesa Algeria
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER
WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...