STARS YAWASILI SALAMA ALGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4aWZ7XNT4M/Vkl8I98YyUI/AAAAAAAIGGQ/2Mn2q6RcqZI/s72-c/bilda.png)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kimewasili salama nchini Algeria jana jioni majira ya saa 10, kabla ya kuanza safari ya kuelekea katika mji wa Bilda.
Msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Athumani Kambi, ambapo jumla ya watu 40 wapo katika mji wa Bilda wakiwemo wachezaji 21 wanaojiandaa kwa mchezo wa marudiano.
Mara baada ya kufika katika uwanja wa ndege Algiers, Stars ilipokelewa na watanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--wj-wJjX9fo/VWBh3_u0NAI/AAAAAAAA9_U/2lZB7ZC7Fh4/s72-c/thumb_IMG_1625_1024.jpg)
STARS YAWASILI SALAMA HAPA CHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/--wj-wJjX9fo/VWBh3_u0NAI/AAAAAAAA9_U/2lZB7ZC7Fh4/s640/thumb_IMG_1625_1024.jpg)
Stars ambayo jana jioni ilipoteza mchezo wake wa mwisho dhidi ya Lesotho baada ya kufungwa bao 1 - 0, imerejea baadaa ya kupoteza michezo yote mitatu ya kundi B, baada ya kufungwa na Swaziland, Madagascar na Lesotho.
Mara baada ya mchezo wa jana dhidi ya Lesotho, kocha mkuu wa Taifa Stars Mart...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OIifDRk-tAk/U9o1jXE55JI/AAAAAAAF8BM/-_zQWOSNRVI/s72-c/002+(1).jpg)
TAIFA STARS YAWASILI SALAMA JIJINI JOHANNESBURG
![](http://4.bp.blogspot.com/-OIifDRk-tAk/U9o1jXE55JI/AAAAAAAF8BM/-_zQWOSNRVI/s1600/002+(1).jpg)
9 years ago
MichuziSTARS YAWASILI, KOCHA AAHIDI KUFANYA VIZURI KATIKA MCHEZO WAO DHIDI YA ALGERIA
11 years ago
Michuzi25 Feb
News Alert: misaada kwa yatima pamoja na ya mapacha wanne yawasili salama mbeya
Kituo cha...
11 years ago
MichuziTIMU YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAWASILI SALAMA MKOANI MWANZA, ZOEZI KUANZA JUMAMOSI
9 years ago
Michuzi09 Oct
TAIFA STARS YAWASILI BLANTYRE
![](http://tff.or.tz/images/blantyre.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-STGCl01gOGQ/VVSjPyhMmcI/AAAAAAAHXS4/Ry6WraKReBc/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
TAIFA STARS YAWASILI RUSTENBURG
![](http://2.bp.blogspot.com/-STGCl01gOGQ/VVSjPyhMmcI/AAAAAAAHXS4/Ry6WraKReBc/s640/unnamed%2B(78).jpg)
Taifa Stars ambayo iliondoka jana joni jijini Dar es salaam jijini Dar es salaam na kufika OR Tambo saa 5 usiku, ilipata mapokezi mazuri kutoka kwa waandaji wa michuano ya COSAFA pamoja na watanzania wanaoishi jijini humo, ililala katika hoteli ya Southern Sun.
Safari ya kutoka Johannesburg kuelekea...