News Alert: misaada kwa yatima pamoja na ya mapacha wanne yawasili salama mbeya
Aida Nakawala (25) mkazi wa kijiji cha Chiwanda, Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, ambaye alijifungua watoto wanne kwa mkupuo (Quadruplets) usiku wa kuamkia Mwaka mpya wa 2014 katika Hospitali ya Wazazi ya META jijini Mbeya.
Misaada toka kwa Bi Gladness Sariah wa Uingereza, Dar es salaam kwa Norah SilverBoutique
Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu akiwakilisha msaada toka kwa familia ya mama Masawe wa DSM kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha NURU kilichopo Uyole Mbeya
Kituo cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzimsamaria mwema wa uingereza atuma misaada kwa mzazi wa mapacha wanne wa mbeya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dfHMtOkC0gU/XsxSV-Iz6ZI/AAAAAAALrhA/E7j_8sQmFDsbXyNf_0Nd-3UrtWxtziNswCLcBGAsYHQ/s72-c/25.jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MAMA AJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO MKOANI KIGOMA, AOMBA MSAADA KWA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-10JxlHGicaQ/VRveT2Z4Y7I/AAAAAAAHOw4/sZmHrocx1C0/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Buzebazeba katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, Zuwena Abdu (29) jana amejifungua watoto mapacha wanne kwa mkupuo katika Hospital ya Mkoa wa Kigoma (Maweni).
Zuwena alisema kuwa watoto aliojifungua wenye jinsia ya kiume ni watatu na mmoja ambaye ni wa mwisho ana jinsia ya kike ,wa kwanza akiwa na uzito wa kilo 1.8,pili 2.5 wa tatu 1.7 na wanne 1.7.
Alisema watoto hao alijifungua jana majira ya saa kumi na mbili jioni salama kwa njia...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s72-c/se4.jpg)
NEWS ALERT:LORI LA MAFUTA LADONDOKA MDA HUU MLIMA SEKENKE NA KULIPUKA NA KUUA WATU WANNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-H4muyge3iG0/UwTFGUVZRAI/AAAAAAAALCI/FivRpsR2pjM/s1600/se4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v8iklBtIuyw/UwTFM47l17I/AAAAAAAALCQ/tCnin6hlI8o/s1600/se5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvdUPUJvoR4/UwTFR5TuhxI/AAAAAAAALCY/hsM-2RkD_Gc/s1600/se6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hV6Nmid49Xo/UwTFV56NNwI/AAAAAAAALCg/cjwIUbkr1qA/s1600/se7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jGNIvo0ZRPk/UwTFZyNiZHI/AAAAAAAALCo/AjCHCE4n9DA/s1600/se9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6-Q2ejkcSAk/UwTFA88IoBI/AAAAAAAALCA/ooxsCw0wHLY/s1600/se11.jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jul
NEWS ALERT: WATU WANNE WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI NA TRENI MKOANI MOROGORO LEO ALFAJIRI
11 years ago
GPLALIYEJIFUNGUA MAPACHA WANNE KWA MKUPUO AENDELEA VIZURI AOMBA MSAADA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s72-c/IMG-20141129-WA0013.jpg)
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-2LSIwKojC90/VHnA548HlcI/AAAAAAAG0Gs/dIG1Diyr7ic/s1600/IMG-20141129-WA0013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fo9dcUps4VM/VHnA7xUxiPI/AAAAAAAG0G0/7Rsrdnubbt4/s1600/IMG-20141129-WA0012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKJwAPs9fCQ/VHnA8Fa9yMI/AAAAAAAG0G8/MEVQBqyj2Jg/s1600/IMG-20141129-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P02KPTQ8OPw/VHnA8b34RhI/AAAAAAAG0G4/oVUhEXKFl-s/s1600/IMG-20141129-WA0014.jpg)