STARS YAWASILI, KOCHA AAHIDI KUFANYA VIZURI KATIKA MCHEZO WAO DHIDI YA ALGERIA
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwasili kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo wakitokea Malawi katika mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018 zitakazofanyika Urusi. Katika mchezo huo Stars ililala kwa bao 1 na kufanikiwa kusonga mbele kutokana na mchezo wa awali Stars kushinda bao 2-0 na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 ambapo itapambana na timu ya taifa ya Algeria. (Picha na Francis Dande)
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2K4mum7YfI/default.jpg)
10 years ago
VijimamboAl Hilal ya Sudan Yawasili Zanzibar kwa Mchezo wao na KMKM
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K4aWZ7XNT4M/Vkl8I98YyUI/AAAAAAAIGGQ/2Mn2q6RcqZI/s72-c/bilda.png)
STARS YAWASILI SALAMA ALGERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-K4aWZ7XNT4M/Vkl8I98YyUI/AAAAAAAIGGQ/2Mn2q6RcqZI/s640/bilda.png)
Msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Athumani Kambi, ambapo jumla ya watu 40 wapo katika mji wa Bilda wakiwemo wachezaji 21 wanaojiandaa kwa mchezo wa marudiano.
Mara baada ya kufika katika uwanja wa ndege Algiers, Stars ilipokelewa na watanzania...
9 years ago
Habarileo23 Oct
‘Mchezo Stars, Algeria utakuwa mgumu’
NAHODHA wa ‘Taifa Stars’ Nadir Haroub ‘Cannavaro’, amesema ni vigumu kuuzungumzia mchezo wao dhidi ya Algeria kutokana na ubora waliokuwa nao wapinzani wao wanaotarajiwa kupambana nao Novemba 14 Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-agcl3_HC79M/U2TI1UEeUTI/AAAAAAAFfC8/ginnu06m964/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
MALAWI YAWASILI NCHINI TAYARI KWA MTANANGE DHIDI YA STARS, KIINGILIO NI BUKU 5 TU !
![](http://4.bp.blogspot.com/-agcl3_HC79M/U2TI1UEeUTI/AAAAAAAFfC8/ginnu06m964/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Flames ikiwa na msafara wa watu 31 imewasili jana (Mei 1 mwaka huu) saa 1 jioni kwa njia ya barabara, na imefikia hoteli ya Manyanya. Nayo Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ipo jijini Mbeya tangu Aprili 27 mwaka huu kujiandaa kwa mechi hiyo.
Kiingilio katika mechi hiyo kitakuwa sh....
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s72-c/download.jpg)
STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-C4HOIEtg7z4/Uvtq9qQykuI/AAAAAAAFMi0/dq3GcSGKAak/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu matokeo.
“Vijana wako vizuri, lakini sitaki kutoa ahadi....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YALALA KWA BAO 1-0
Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
STARS YAKOSA KUTAMBA KWENYE MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YACHAPWA BAO 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B(16).jpg)
Kikosi cha Taifa Stars.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1j--ewyczCo/VVrzyxB0bCI/AAAAAAAHYM8/TGQIjB3UrWE/s640/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pFXPux-cO5s/VVrzzL0ND2I/AAAAAAAHYNA/MfUmT8rcUhc/s640/unnamed%2B(17).jpg)