Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtibwa yaifuata Stand Utd

MTIBWA Sugar wameifuata Stand United ya Shinyanga kwa ajili ya mchezo wa ligi utakaochezwa keshokutwa. Mchezo huo utachezwa kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga kwa ajili ya kusaka ushindi wa kwanza utakaoziweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Stand Utd safi

Timu ya Stand United imepata udhamini wa Sh50 milioni  kutoka Kampuni ya Double Star Tire.

 

10 years ago

Habarileo

Liewing afurahia wakongwe Stand Utd

KOCHA wa Stand United, Patrick Liewig amefurahia kuwepo kwa Masoud Nassoro, Haroun Chanongo na Amri Kiemba kwenye kikosi chake.

 

10 years ago

TheCitizen

Stand Utd target survival after Simba victory

After edging giants Simba SC 1-0 in the Vodacom Premier League, Stand United FC head coach Matia Lule says he is proud of his charges and now targets to save them from the drop.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stand Utd kuanika vifaa vyake Agosti 4

TIMU ya Stand United ya Shinyanga, imeandaa tamasha maalum litakalojulikana kama ‘Stand United Day’ litakalofanyika Agosti 4,  kutambulisha nyota wapya kuelekea Ligi Kuu Tanzania bara. Hesabu za timu hiyo, ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Moro, Ndanda FC na Stand Utd zinakuja na lipi?

TIMU tatu zitakazochukua nafasi ya zitakazoshuka Ligi Kuu msimu huu, zimeshajulikana baada ya kufanya kweli katika Ligi Daraja la Kwanza. Hizo ni Polisi Morogoro iliyorejea Ligi Kuu ambapo tayari imepanda...

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngorongoro yaifuata Nigeria

>Timu ya taifa ya vijana ya Tanzania U-20, Ngorongoro Heroes imefuzu kucheza raundi ya pili ya kusaka kucheza fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana baada ya kuichapa Kenya kwa penalti 4-3 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Colombia yaifuata Brazil

Colombia itaivaa Brazil katika robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuwatupa nje ya mashindano Uruguay na Chile usiku wa kuamkia leo.

 

9 years ago

Habarileo

Azam FC yaifuata Ndanda

MABINGWA wa soka Afrika Mashariki na Kati, Azam FC leo wanatarajia kwenda Mtwara kuifuata Ndanda ya huko kwa ajili ya mechi ya kujipima nguvu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani