Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liewing afurahia wakongwe Stand Utd

KOCHA wa Stand United, Patrick Liewig amefurahia kuwepo kwa Masoud Nassoro, Haroun Chanongo na Amri Kiemba kwenye kikosi chake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wenger afurahia ushindi dhidi ya Man Utd

Arsene Wenger amesema alifurahishwa sana na uchezaji wa timu yake na kueleza kuwa walishangaza Manchester United kuanzia mwanzo wa mechi.

 

11 years ago

Mwananchi

Stand Utd safi

Timu ya Stand United imepata udhamini wa Sh50 milioni  kutoka Kampuni ya Double Star Tire.

 

9 years ago

Habarileo

Mtibwa yaifuata Stand Utd

MTIBWA Sugar wameifuata Stand United ya Shinyanga kwa ajili ya mchezo wa ligi utakaochezwa keshokutwa. Mchezo huo utachezwa kwenye uwanja wa Kambarage Shinyanga kwa ajili ya kusaka ushindi wa kwanza utakaoziweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.

 

10 years ago

TheCitizen

Stand Utd target survival after Simba victory

After edging giants Simba SC 1-0 in the Vodacom Premier League, Stand United FC head coach Matia Lule says he is proud of his charges and now targets to save them from the drop.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stand Utd kuanika vifaa vyake Agosti 4

TIMU ya Stand United ya Shinyanga, imeandaa tamasha maalum litakalojulikana kama ‘Stand United Day’ litakalofanyika Agosti 4,  kutambulisha nyota wapya kuelekea Ligi Kuu Tanzania bara. Hesabu za timu hiyo, ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Moro, Ndanda FC na Stand Utd zinakuja na lipi?

TIMU tatu zitakazochukua nafasi ya zitakazoshuka Ligi Kuu msimu huu, zimeshajulikana baada ya kufanya kweli katika Ligi Daraja la Kwanza. Hizo ni Polisi Morogoro iliyorejea Ligi Kuu ambapo tayari imepanda...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Lowassa afurahia tuzo

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ameishutumu serikali kwa kuwakataza kufanya mikutano ya kuwashukuru wananchi na ameifananisha hatua hiyo sawa na uoga usio na msingi.Akizungumza kupitia taarifa iliyotolewa na msemaji wake, Aboubakary Liongo, Lowassa alisema kuzuiwa kwake na upinzani kuzunguka nchi nzima

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wakongwe mizigo Ashanti’

Kocha wa Ashanti  United, Abdalah Kibadeni ‘King’ amewaangushia jumba bovu wachezaji wake wakongwe kwa kusema matokeo duni ya timu yake yamechangiwa na wao kushindwa kutimiza wajibu wao.

 

10 years ago

Habarileo

Watendaji 'wakongwe' kupanguliwa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WATENDAJI wa Halmashauri waliokaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka 10 , wataanza kuhamishwa wakati wowote kuanzia sasa kuleta ufanisi katika utendaji na kukomesha kufanya kazi kwa mazoea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani