Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa afurahia tuzo

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ameishutumu serikali kwa kuwakataza kufanya mikutano ya kuwashukuru wananchi na ameifananisha hatua hiyo sawa na uoga usio na msingi.Akizungumza kupitia taarifa iliyotolewa na msemaji wake, Aboubakary Liongo, Lowassa alisema kuzuiwa kwake na upinzani kuzunguka nchi nzima

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Asia Idarous afurahia tuzo ya maisha ya SFW 2014

IMG_4181

 

“Tuzo ya Life Time Achievement Swahili Fashion Week 2014, ni furaha ya maisha yangu”

Na Andrew Chale

USIKU wa Desemba 7, 2014, imekuwa ya furaha na ya kipekee kwa Mbunifu  mkongwe mitindo na mavazi ndani na nje ya Tanzania, Asia Idarous Khamsin ama ‘Mama wa Mitindo Tanzania’, baada ya kuzawadiwa tuzo maalumu  ya  ‘Life Time Achievement Swahili Fashion Week 2014, kutoka Swahili  Fashion Week, amesema tuzo hiyo ni furaha ya Maisha yake na ataendelea kutumia wasaha wa kuinua tasnia ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Tuzo ya amani imewaumbua CCM-Lowassa

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na kuungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa amesema anashangaa kuona anaambiwa mleta vurugu wakati dunia inamkubali kuwa ni mlinzi wa amani.

 

9 years ago

Mwananchi

Taasisi 1,200 duniani zampa tuzo ya amani Edward Lowassa

Taasisi 1,200 duniani zitampa aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa Tuzo ya Amani kutokana na utulivu aliouonyesha kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete afurahia alivyoanza Magufuli

Rais aliyeondoka mamlakani majuzi nchi Tanzania amesifu jinsi Rais mpya John Magufuli alivyoanza kazi na kumtaka aendelee vivyo hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Di maria afurahia kujiunga na PSG

Winga wa timu ya taifa ya Argentina Angel Di maria amefurahishwa na uhamisho wake toka Manchester United

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa afurahia hali ya chakula

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kufurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndugulile afurahia Kigamboni kugawanywa

MBUNGE wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile, amesema uamuzi wa Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Temeke kuridhia kuligawanya jimbo lake utakuwa na manufaa kwa maendeleo ya wakazi wake. Alisema ukubwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kenyatta afurahia kuachiwa huru

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.RAIS Uhuru Kenyatta ameelezea kufurahishwa na uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), kutupilia mbali kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili, baada ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou Bensouda kuondoa mashitaka dhidi ya Rais huyo.

 

10 years ago

Habarileo

Liewing afurahia wakongwe Stand Utd

KOCHA wa Stand United, Patrick Liewig amefurahia kuwepo kwa Masoud Nassoro, Haroun Chanongo na Amri Kiemba kwenye kikosi chake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani