Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete afurahia alivyoanza Magufuli

Rais aliyeondoka mamlakani majuzi nchi Tanzania amesifu jinsi Rais mpya John Magufuli alivyoanza kazi na kumtaka aendelee vivyo hivyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje..

Kama ni mfatiliaji wa masuala ya kila kinachoendelea kwenye headlines kubwa kutoka Tanzania zilizofanikiwa kuteka zaidi siku chache zilizopita, ni ishu ya kasi ya Rais Magufuli kwenye utendaji wake huku akisisitiza kubana matumizi ya Serikali. Kwenye kubana matumizi kwa sasa Rais Magufuli aliagiza pia kuzuia safari za viongozi nje ya nchi… Rais wa Ghana pia […]

The post Ndio kusema Rais wa Ghana kaiga kasi ya Rais Magufuli ??!! cheki alivyoanza kubana safari za nje.. appeared first on...

 

10 years ago

GPL

JB AELEZA ALIVYOANZA UIGIZAJI KWA KULAZIMISHWA NA MAMA’KE

WIKI iliyopita, tuliishia kwa kueleza jinsi alivyojitosa rasmi kwenye biashara ya kuuza nafaka za mahindi na mpunga akitoa katika mikoa ya Mbeya na Tanga. Tuliishia kwenye kipengele cha alipougua fangasi. Je, nini kilifuata? Endelea sasa hapa......http://bit.ly/1Vd9Uek

 

9 years ago

Bongo5

Chill na Sky: Naj azungumzia alivyoanza muziki, kufanya audition ya Harry Porter, uhusiano wake na Mr Blue nk (Audio)

12070616_1731677777055440_798838554_n

Wiki hii kwenye Chill na Sky, Fredrick ‘Skywalker’ amepiga story na Naj aliyeachia video yake ya ‘No Going Home’ mwishoni mwa wiki iliyopita. Kwenye kipindi hiki Naj amezungumzia historia yake, alivyoanza muziki, alivyoshiriki kwenye audition za filamu ya Harry Porter, uhusiano wake na Mr Blue na mambo mengi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Lowassa afurahia tuzo

Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA na kuungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ameishutumu serikali kwa kuwakataza kufanya mikutano ya kuwashukuru wananchi na ameifananisha hatua hiyo sawa na uoga usio na msingi.Akizungumza kupitia taarifa iliyotolewa na msemaji wake, Aboubakary Liongo, Lowassa alisema kuzuiwa kwake na upinzani kuzunguka nchi nzima

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Ndugulile afurahia Kigamboni kugawanywa

MBUNGE wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndugulile, amesema uamuzi wa Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Temeke kuridhia kuligawanya jimbo lake utakuwa na manufaa kwa maendeleo ya wakazi wake. Alisema ukubwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kenyatta afurahia kuachiwa huru

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.RAIS Uhuru Kenyatta ameelezea kufurahishwa na uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), kutupilia mbali kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili, baada ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou Bensouda kuondoa mashitaka dhidi ya Rais huyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Di maria afurahia kujiunga na PSG

Winga wa timu ya taifa ya Argentina Angel Di maria amefurahishwa na uhamisho wake toka Manchester United

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa afurahia hali ya chakula

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kufurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani