Majaliwa afurahia hali ya chakula
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kufurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
WAZIRI WASIRA AELEZEA HALI YA CHAKULA NCHINI

9 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA HALI YA CHAKULA MKOANI RUVUMA

Akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali jana jioni (Jumapili, Januari 3, 2016) katika ukumbi uliopo Ikulu ndogo Songea, Waziri Mkuu ameutaka uongozi wa mkoa kuhakikisha kuna upatikanaji wa masoko kwa mazao mbalimbali pamoja na kuendelea kutoa msukumo kwa wananchi.
Pia, ameupongeza uongozi wa mkoa huo kwa kutoa...
9 years ago
CCM Blog
PICHA RASMI ZA WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA NA MKEWE MAMA MARY MAJALIWA


10 years ago
Michuzi
WARATIBU MAAFA SHINYANGA WAJIFUNZA KWA VITENDO TATHMINI YA HALI YA CHAKULA



11 years ago
Michuzi.jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAFANYA TATHMINI YA HALI YA CHAKULA NA LISHE MKOANI SIMIYU
.jpg)
.jpg)
9 years ago
Michuzi
Waziri Mkuu Mteule Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuapishwa kesho

Sherehe za kumuapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa (pichani), Waziri Mkuu Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zitafanyika katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2015 kuanzia saa 4.00 Asubuhi. Sherehe hizo zinafanyika siku moja baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha jina lake kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia uteuzi uliofanywa na Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MAJALIWA KASSIM MAJALIWA KWENYE MCHAPALO WA KUZINDUA BUNGE


9 years ago
Michuzi
9 years ago
CCM Blog
MHE.MAJALIWA KASSIM MAJALIWA APATA ZAIDI YA ASILIMIA 73.5%
Idadi ya wabunge ni 394 waliosajiliwa ni 369 na waliohudhuria Bunge ni 351

Apigiwa kura 258Zilizoharibika ni kura 2Kura za hapana 91
Waziri Mkuu Mteule Majaliwa Kassim Majaliwa apata asilimia 73.5 ya kura zilizopigwa na wapunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Apigiwa kura 258Zilizoharibika ni kura 2Kura za hapana 91
Waziri Mkuu Mteule Majaliwa Kassim Majaliwa apata asilimia 73.5 ya kura zilizopigwa na wapunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10