Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB AELEZA ALIVYOANZA UIGIZAJI KWA KULAZIMISHWA NA MAMA’KE

WIKI iliyopita, tuliishia kwa kueleza jinsi alivyojitosa rasmi kwenye biashara ya kuuza nafaka za mahindi na mpunga akitoa katika mikoa ya Mbeya na Tanga. Tuliishia kwenye kipengele cha alipougua fangasi. Je, nini kilifuata? Endelea sasa hapa......http://bit.ly/1Vd9Uek

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kulazimishwa kujiuzulu kunapongezwa kwa lipi?

OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyogeuka kashfa kubwa nchini, imewaacha mawaziri wanne wakipoteza nyadhifa zao. Kati ya mawaziri hao wanne, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki; Ulinzi na Jeshi la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Amchukua Yule Binti Alietoroka Kwao Kwa Sababu ya Kulazimishwa Kuolewa

"Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na  milipata kuskia story ya huyu binti hapa kwenye picha!

Kuwa ametoroka kwao Tanga kuja Dar kwa sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora nimchukue mpaka hapo familiya yake itapoMua kujitokeza mm ni moja wapo ya changanoto nying nilizozipita nilipokuwa igunga watoto wadogo kubakwa kupewa mimba wakiwa wadogo na hamna sheria yeyote...

 

11 years ago

GPL

CATHY AELEZA ALIVYOKOSA MAPENZI YA MAMA

Makala: Gabriel Ng’osha
WIKI iliyopita tulianza makala haya ambapo tuliona jinsi mwigizaji Sabrina Rupia ‘Cathy’ alivyoanza kujitegemea akiwa na umri mdogo, leo tunaendelea kuona vitu vingine alivyopitia maishani mwake:
Mwandishi: Kwa nini uliamua kujitegemea ukiwa mdogo? Mwigizaji wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ akipozi. 01Cathy: Ni kweli sikustahili kujitegemea maana nilikuwa mdogo...

 

10 years ago

GPL

JANUARY, KWA HILI LA UIGIZAJI SI KWA LOWASSA TU

Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, January Makamba. UPO katika mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambao utafanyika Oktoba mwaka huu, utakaoipatia nchi yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania rais wake wa tano, ambaye kwa mujibu wa katiba yetu, atakaa madarakani kwa muda usiozidi miaka kumi katika vipindi vya miaka mitano mitano. Tatizo hasa lipo CCM ambako dazani ya wanachama wake, kila mmoja anaamini anao uwezo wa kukalia kiti kile cha...

 

10 years ago

Habarileo

Spika Sitta awakubali Ukawa kwa uigizaji

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta.VITA ya maneno kati ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), imeendelea na safari hii Sitta amewaita viongozi wa kundi hilo kuwa wana vipaji vya uigizaji kwa namna wanavyotoa matamko yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga kulazimishwa mafunzo

WANANCHI wa kijijiji cha Kicheba, wilayani Muheza wamemuomba Mkuu wa wilaya hiyo, Subira Mgalu, kufika kijijini hapi ili awapatie ufafanuzi kuhusu viongozi wao kuwakamata na kuwalazimisha kufanya mafunzo ya mgambo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, leo hatutakuwa na masimulizi ya Tamthiliya ya Be Careful With My Heart. Badala yake tutangalia wasifu wa mhusika mkuu katika tamthiliya hiyo, Jodi Santamaria ambaye anafahamika kama Maya dela Rosa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete afurahia alivyoanza Magufuli

Rais aliyeondoka mamlakani majuzi nchi Tanzania amesifu jinsi Rais mpya John Magufuli alivyoanza kazi na kumtaka aendelee vivyo hivyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani