Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kulazimishwa kujiuzulu kunapongezwa kwa lipi?

OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyogeuka kashfa kubwa nchini, imewaacha mawaziri wanne wakipoteza nyadhifa zao. Kati ya mawaziri hao wanne, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki; Ulinzi na Jeshi la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JB AELEZA ALIVYOANZA UIGIZAJI KWA KULAZIMISHWA NA MAMA’KE

WIKI iliyopita, tuliishia kwa kueleza jinsi alivyojitosa rasmi kwenye biashara ya kuuza nafaka za mahindi na mpunga akitoa katika mikoa ya Mbeya na Tanga. Tuliishia kwenye kipengele cha alipougua fangasi. Je, nini kilifuata? Endelea sasa hapa......http://bit.ly/1Vd9Uek

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete atakapong’atuka, atakumbukwa kwa lipi?

Hotuba aliyotoa Rais Jakaya Kikwete, Oktoba 2014 alipokuwa Beijing, China ni kama alianza kuwaaga Watanzania  akijiandaa kustaafu urais.

 

11 years ago

GPL

TUNDU LISSU: TUMUUE ZITTO KWA LIPI?

WAKATI Watanzania wote macho na masikio yao yakiwa Dodoma kwenye kikao cha Bunge la Katiba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) bado kuna mgogoro unaoendelea kuunguruma chinichini. Tundu Lissu akiongea na wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Mgogoro huo kati ya uongozi wa Chadema na…

 

9 years ago

Mwananchi

CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole Amchukua Yule Binti Alietoroka Kwao Kwa Sababu ya Kulazimishwa Kuolewa

"Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na  milipata kuskia story ya huyu binti hapa kwenye picha!

Kuwa ametoroka kwao Tanga kuja Dar kwa sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora nimchukue mpaka hapo familiya yake itapoMua kujitokeza mm ni moja wapo ya changanoto nying nilizozipita nilipokuwa igunga watoto wadogo kubakwa kupewa mimba wakiwa wadogo na hamna sheria yeyote...

 

9 years ago

Bongo5

Fahamu kwa undani sakata la kujiuzulu kwa rais wa Guatemala

Masaa machache baada ya rais wa Guatemala, Otto Perez Molina kujiuzalu, alitupwa jela kusubiri kesi yake ya upotevu wa fedha nyingi ambazo zimetikisha nchi hiyo kiuchumi na kanda nzima. Maamuzi hayo yalifikiwa baada ya maandamano ambayo yamekuwa yakifanywa toke mwezi wa nne wakimtaka aondoke madarakani na kushtakiwa kwa makosa ya rushwa kubwa. Kitu hicho ambacho […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga kulazimishwa mafunzo

WANANCHI wa kijijiji cha Kicheba, wilayani Muheza wamemuomba Mkuu wa wilaya hiyo, Subira Mgalu, kufika kijijini hapi ili awapatie ufafanuzi kuhusu viongozi wao kuwakamata na kuwalazimisha kufanya mafunzo ya mgambo...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walalamika kulazimishwa kulazwa Amana

Licha ya Serikali kutangaza kuwa matibabu ya homa ya dengue ni bure, inadaiwa kuwa baadhi ya watoa huduma katika Hospitali ya Amana wamekuwa wakiwatoza wagonjwa Sh30,000 huku wengine wakitakiwa kulazwa kabla ya kupimwa na baadhi wakiambiwa vifaa vimekwisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani