Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete atakapong’atuka, atakumbukwa kwa lipi?

Hotuba aliyotoa Rais Jakaya Kikwete, Oktoba 2014 alipokuwa Beijing, China ni kama alianza kuwaaga Watanzania  akijiandaa kustaafu urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ANASTAAFU; ATAKUMBUKWA KWA HAYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Mungu ni mwenye rehema kubwa, tusichoke kumuabudu na kusifu utukufu wake.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete, atamaliza muda wake wa kuliongoza taifa hili Oktoba, 2015 na leo nimeona niwakumbushe yale aliyoyafanya kwa miaka hiyo karibu kumi akiwa kiongozi wa nchi. Hakuna ubishi kwamba Rais Kikwete aliingia madarakani kwa...

 

5 years ago

Raia Mwema

Magufuli atakumbukwa kwa hili la makao makuu

MIAKA takriban 43 iliyopita chama kilichokuwa kinatawala Tanzania Bara kilichojulikana kama TANU

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Ahmad Tejan atakumbukwa kwa mengi

Rais wa zamani wa Sierra Leone, Alhaji Ahmad Tejan Kabbah, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 huku dunia ikimtaja kama mtu aliyepigania haki na usawa kwa watu wa taifa lake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kulazimishwa kujiuzulu kunapongezwa kwa lipi?

OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyogeuka kashfa kubwa nchini, imewaacha mawaziri wanne wakipoteza nyadhifa zao. Kati ya mawaziri hao wanne, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki; Ulinzi na Jeshi la...

 

11 years ago

GPL

TUNDU LISSU: TUMUUE ZITTO KWA LIPI?

WAKATI Watanzania wote macho na masikio yao yakiwa Dodoma kwenye kikao cha Bunge la Katiba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) bado kuna mgogoro unaoendelea kuunguruma chinichini. Tundu Lissu akiongea na wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Mgogoro huo kati ya uongozi wa Chadema na…

 

9 years ago

Mwananchi

CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.

 

10 years ago

Vijimambo

NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA

Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza, kombe la mshindi wa pili kwa walipa kodi wakubwa nchini wakati wa maadhimisho ya nane ya siku ya mlipa kodi iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Vodacom imeongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini.Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washindi watatu bora wakubwa walipa kodi kutoka kushoto ni Meneja wa masuala...

 

10 years ago

GPL

NINGEKUWA MIMI MUHONGO, KWA HILI LA ESCROW, NINGENG’ATUKA

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo. Kwako mheshimiwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo.
Najua hunifahamu na hakuna mazingira yanayoweza kunikutanisha na wewe na ndiyo maana nimeamua kutumia ukurasa huu kufikisha ujumbe wangu kwako, ambao najua hutaufurahia. Mheshimiwa, mimi sikuzaliwa Juni 25, 1954 huko Musoma kama wewe. Mimi si msomi mwenye ‘CV’ ya nguvu na kubobea kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

KIGOGO WA ACT WAZALENDO ANG'ATUKA, ARUSHA MAKOMBORA KWA ZITTO NA MAALIM SEIF


Charles James, Globu ya Jamii

KIMENUKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekua Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Yeremia Maganja kutangaza kukihama chama hicho kwa kile alichoeleza kutoridhishwa na mwenendo wa chama hicho.

Maganja ambaye pia amewahi kuwa mshauri wa ACT amesema sababu kuu zilizomfanya ajiondoe kwenye chama hicho ni namna ambavyo uchaguzi mkuu uliofanyika Machi mwaka huu ulivyoendeshwa pamoja na ujio wa Maalim Seif Sharif Hamad kutokea Chama cha Wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani