Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais Ahmad Tejan atakumbukwa kwa mengi

Rais wa zamani wa Sierra Leone, Alhaji Ahmad Tejan Kabbah, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82 huku dunia ikimtaja kama mtu aliyepigania haki na usawa kwa watu wa taifa lake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE ANASTAAFU; ATAKUMBUKWA KWA HAYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Mungu ni mwenye rehema kubwa, tusichoke kumuabudu na kusifu utukufu wake.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete, atamaliza muda wake wa kuliongoza taifa hili Oktoba, 2015 na leo nimeona niwakumbushe yale aliyoyafanya kwa miaka hiyo karibu kumi akiwa kiongozi wa nchi. Hakuna ubishi kwamba Rais Kikwete aliingia madarakani kwa...

 

5 years ago

Raia Mwema

Magufuli atakumbukwa kwa hili la makao makuu

MIAKA takriban 43 iliyopita chama kilichokuwa kinatawala Tanzania Bara kilichojulikana kama TANU

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete atakapong’atuka, atakumbukwa kwa lipi?

Hotuba aliyotoa Rais Jakaya Kikwete, Oktoba 2014 alipokuwa Beijing, China ni kama alianza kuwaaga Watanzania  akijiandaa kustaafu urais.

 

10 years ago

Vijimambo

Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake


Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...

 

11 years ago

TheCitizen

Ahmed Tejan Kabbah: He had positive, negative side

All over the world, Ahmed Tejan Kabbah has been described as a war-time president. Indeed, Kabbah took power during the peak of a brutal civil/rebel war in Sierra Leone. In fact, Kabbah’s own very presidency was violently interrupted for a period of nearly one year by a brutally bloody coup led by AFRC.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais ategemee kuona mabango mengi zaidi

Alhamisi wiki hii, Rais Jakaya Kikwete alitembelea Kibaigwa mkoani Dodoma kuona shughuli mbalimbali za maendeleo na kusikiliza kero za wananchi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais Jakaya Kikwete anafahamu mambo mengi!

JAKAYA Mrisho Kikwete ni Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Tanzania anayefahamu mambo mengi lakini hajaamua kushughulikia kile anachokifahamu. Naam! Si mara ya kwanza kumsikia akisema kile anachokijua. Rais wetu...

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI

She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram 

 

5 years ago

BBCSwahili

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania

Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani