Shilole Amchukua Yule Binti Alietoroka Kwao Kwa Sababu ya Kulazimishwa Kuolewa
"Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na milipata kuskia story ya huyu binti hapa kwenye picha!
Kuwa ametoroka kwao Tanga kuja Dar kwa sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora nimchukue mpaka hapo familiya yake itapoMua kujitokeza mm ni moja wapo ya changanoto nying nilizozipita nilipokuwa igunga watoto wadogo kubakwa kupewa mimba wakiwa wadogo na hamna sheria yeyote...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p53ehfl8xTo/VKN2_lMpedI/AAAAAAAA1Ac/ZRgl6ghehOo/s72-c/Sholole-aliwa-na-Pendo.jpg)
SHILOLE KIUNO AJIPA JUKUMU LA KUMLEA MTOTO MDOGO ALIYEKIMBIA KWAO KUOLEWA!
![](http://2.bp.blogspot.com/-p53ehfl8xTo/VKN2_lMpedI/AAAAAAAA1Ac/ZRgl6ghehOo/s1600/Sholole-aliwa-na-Pendo.jpg)
Muimbaji wa ‘Namchukua’ Shilole, ameamua kumchukua binti aitwaye Pendo baada ya kutoroka nyumbani kwao Morogoro akikimbia kuozeshwa kwa lazima. Shilole ameposti picha Instagram na kuandika:Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na @dahuucloudsfm milipata kuskia story ya huyo bint hapo kwenye picha! Kuwa ametoroka kwao tanga kuja dar kwA sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*r79W4rvRC-SAwqDr9ByCakqGoyAsjx9EqE6BlO2InxAXSF*p959ULLzdFIynaD8XQfpNiww8OOT8qo8LFVMpF7/witness.jpg?width=650)
BINTI ALIYEZIKWA AIBUKIA KWAO
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
FINALLY! Wema Sepetu aamua 'kuolewa'. Aenda kumtambulisha mume nyumbani kwao.
Kwa mujibu wa tovuti ya Mange, inasemekana mwanadada Wema Sepetu ameamua kufanya kweli na kwenda kumtambulisha mume wako mtarajiwa nyumbani kwako Singida tayari kwa mipango ya ndoa.
Kupitia picha iliyowekwa kwenye tovuti hiyo, inayomuonesha mwanadada Wema akiwa na pete ya ndoa kidoleni anayodaiwa kuvalishwa na mchumba wake huyo ambaye wapasha habari wa hapa mjini wanadai ni yule tajiri wa Uganda - Ivan aliyekuwa mume wa mwanadada Zari ambaye kwa sasa ni mpenzi wa ex wa zamani wa Wema –...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s72-c/unnamed.jpg)
news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta
![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s1600/unnamed.jpg)
Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa.
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi.
Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke, na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/lx7J7UEjPT0/default.jpg)
PNC SHINO Yule yule 2015 Tanzanian Music Official video
Singer Name:- Pnc
Song Name:- Yule Yule
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Director:- Saimako
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Baraza la Mawaziri ni sheikh yule yule katika kanzu mpya!
WASWAHILI watakuambia ni sheikh yule yule ndani ya kanzu mpya. Wazungu watakuambia ni mvinyo ule ule kwenye chupa mpya. Naam, hilo ndilo Baraza la Mawaziri lililorekebishwa. Watu walikuwa macho wazi...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Kulazimishwa kujiuzulu kunapongezwa kwa lipi?
OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyogeuka kashfa kubwa nchini, imewaacha mawaziri wanne wakipoteza nyadhifa zao. Kati ya mawaziri hao wanne, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki; Ulinzi na Jeshi la...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-bXausQbgFlk/Va0cZOVrIdI/AAAAAAAANHg/1t199FcDhbg/s72-c/Shilole-na-Nuh-Mziwanda-600x400.jpg)
Kinenuka..Audio: Shilole na Nuhu Mziwanda wameongea haya juu ya kuachana kwao walipo hojiwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-bXausQbgFlk/Va0cZOVrIdI/AAAAAAAANHg/1t199FcDhbg/s640/Shilole-na-Nuh-Mziwanda-600x400.jpg)
Ugomvi baina ya wapenzi waliodumu kwa takribani miaka miwili namzungumzia Shilole na Nuhu Mziwanda umeonekana kuthibitishwa kuwa sio kutafuta Kick kama ilivyo dhaniwa bali niukweli wamemwagana kama wenyewe walivyo thibitisha kwaGossip Cop wa XXL ya Clouds FM.
Shilole ameweka wazi kuwa Nuhu kwake sio mpenzi tena na ikibidi kutafuta mwingine atakaye weza kumfaa na kukaa naye maisha yakaendelea, Akimainisha kuwa walishafanya ngoma ya pamoja lakini hawezi kuitoa kwa sasa kutokana na kuachana...