BINTI ALIYEZIKWA AIBUKIA KWAO
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*r79W4rvRC-SAwqDr9ByCakqGoyAsjx9EqE6BlO2InxAXSF*p959ULLzdFIynaD8XQfpNiww8OOT8qo8LFVMpF7/witness.jpg?width=650)
Stori: Joseph Ngilisho, ARUMERU HOFU ya ushirikina imetikisa Mkoa wa Arusha kufuatia tukio la hivi karibuni ambapo mwanafunzi wa Chuo cha Kompyuta jiji hapa, Witness Obed (21) aliyefariki dunia Aprili 12, mwaka huu na kuzikwa kwenye makaburi ya nyumbani kwao Kijiji cha Nanja, Kata ya Moshono wilayani Arumeru, Arusha kuibuka akiwa hai. Witness Obed (21) aliyefariki dunia Aprili 12 mwaka huu na kuzikwa kwenye makaburi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Mazishi ya mwandishi wa habari “Thomas Lipuka Komba”aliyezikwa kijijini kwao Mkili wilayani Nyasa
Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa mbele ya sanduku Marehemu Lipuka Komba.
Baadhi ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Ruvuma wakishusha sanduku kaburini.
Katibu mtendaji wa Ruvuma Press akichukuwa matukio.
Mjane wa marehemu Christina Haule akiweka shada la maua.
Mwandishi wa habari Thomas Lipuka Komba amezikwa kijijini kwake Mkili wilayani Nyasa Juzi.
Marehemu alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa Moyo kwa muda mrefu hali iliyosababisha kifo cha ghafla.
Marehemu Thomas Lipuka Komba ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s72-c/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA MAZIKO YA JAJI WA MAHKAMA KUU ZANZIBAR MKUSA SEPETU ALIYEZIKWA KIJIJI KWAO MBUZINI UNGUJA LEO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3OkS5mXcP0s/XkmOK2X6NiI/AAAAAAALdow/t_hV8vCFhrsL9zgnKoNUvHtGr436QAXFQCLcBGAsYHQ/s640/d4b3a13b-0ef4-42d2-bac8-28d51650e838.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/81c75572-8fa4-417a-9b62-6125c582372f.jpg)
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
Shilole Amchukua Yule Binti Alietoroka Kwao Kwa Sababu ya Kulazimishwa Kuolewa
"Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na milipata kuskia story ya huyu binti hapa kwenye picha!
Kuwa ametoroka kwao Tanga kuja Dar kwa sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora nimchukue mpaka hapo familiya yake itapoMua kujitokeza mm ni moja wapo ya changanoto nying nilizozipita nilipokuwa igunga watoto wadogo kubakwa kupewa mimba wakiwa wadogo na hamna sheria yeyote...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s72-c/unnamed.jpg)
news alert: binti wa miaka 12 atoweka nyumbani kwao temeke, dar es salam, wazazi wanamtafuta
![](http://3.bp.blogspot.com/-CxxTONhbP6A/VFUIGn-_X6I/AAAAAAAGun8/sbwRyghldAg/s1600/unnamed.jpg)
Jina: Mwasiti Abdulrazack Kakurwa.
Umri miaka 12. Rangi ya mwili: Mweusi.
Mara ya mwisho alivaa T-shirt iliyoandikwa Mnazi Mmoja primary School, na alijifunika mtandio mweusi. Ametoweka jana jioni maeneo ya mtaa wa Berege, Tandika, Temeke, Dar es salaam.Yeyote atayemuina ama mwenye taarifa zake tunaomba taarifa zipelekwe katika kituo chochote cha polisi ama Kituo cha police tandika, Temeke, na police Chang'ombe, Dar es salaam. Ama kwa Mzazi Abdurazack Kakurwa, namba ya simu 0713 835699, au...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
10 years ago
CloudsFM14 Jan
KABURI LA ALIYEZIKWA NA KUKU LAFUKULIWA
Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga, Mussa Taibu amethibitisha kuwapo kwa tukio hilo, huku akisema tukio hilo halivumiliki na kuwataka wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa wahusika wa tukio hilo.
Taarifa za kufukuliwa kwa kaburi hilo...
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Kaburi la aliyezikwa na kuku tumboni lafukuliwa
Na Kadama Malunde, Shinyanga
SIKU chache baada ya Benadetha Steven (35) aliyefariki dunia na kuzikwa na kifaranga cha kuku tumboni kwa madai ya kuondoa mikosi katika familia, kaburi lake limefukuliwa na watu wasiojulikana.
Benadetha (35) aliyekuwa mkazi wa Mtaa wa Mapinduzi, Kata ya Ndala, Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga, alifariki Januari 1 mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga alikokuwa amelazwa akitibiwa uvimbe tumboni na kuzikwa katika makaburi ya Masekelo.
Mazishi yake...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s72-c/b5.jpg)
Mama Salma Kikwete ajiunga na waombolezaji kwenye msiba wa mwanamuziki Ramadhani Masanja Banza Stone aliyezikwa jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-XKUMdDpDbFM/VapaAbDN64I/AAAAAAAHqWQ/kTJCn8qanxI/s640/b5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WWwDQ6g0heM/VapaCIjGUbI/AAAAAAAHqWc/KxmNknAURCI/s640/b6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5K_DpjCSaNI/VapaD8mAVfI/AAAAAAAHqWo/435Td19g5qg/s640/b8.jpg)