Wagonjwa walalamika kulazimishwa kulazwa Amana
Licha ya Serikali kutangaza kuwa matibabu ya homa ya dengue ni bure, inadaiwa kuwa baadhi ya watoa huduma katika Hospitali ya Amana wamekuwa wakiwatoza wagonjwa Sh30,000 huku wengine wakitakiwa kulazwa kabla ya kupimwa na baadhi wakiambiwa vifaa vimekwisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Amana yaelemewa na wagonjwa wa ‘bure’
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uDALhUQFiek/XqFmLXgxOUI/AAAAAAAAycg/c9uZ_73LOcsRHFm2-nHDy33W7XZWh2JkgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20190402-WA0007.jpg)
WAGONJWA WA CORONA WALAZIMISHA KUONDOKA HOSPITALI YA AMANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uDALhUQFiek/XqFmLXgxOUI/AAAAAAAAycg/c9uZ_73LOcsRHFm2-nHDy33W7XZWh2JkgCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20190402-WA0007.jpg)
Mkuu wa wilaya wa Ilala, Sophia Mjema athibitisha na kusema kuwa kuna baadhi ya wathirika wa CoronaVirus walikuwa kwenye kituo maalum katika Hospitali ya Amana walikuwa wakilazimisha kurudi makwao wakidai wanajisikia vizuri.
Na zile taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa wagonjwa hao wanadaiwa kuondoka kwa kukimbia na kupanda daladala, Mjema amesema...
5 years ago
MichuziHOSPITALI YA AMANA IPO TAYARI KUPOKEA WAGONJWA WA CORONA
NA ZAMARADI KAWAWA, MAELEZO, DAR ES SALAAMSerikali imehamisha wagonjwa wote waliokuwa wakipata huduma za afya katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dar es Salaam, Amana iliyopo Manispaa ya Ilala, ili kuanza kutekeleza jukumu la kutumia hospitali hiyo kutoa huduma za afya kwa wagonjwa wa Corona (COVID – 19).
Akizungumza na Watumishi wa hospitali hiyo mara baada ya kutembelea majengo yatakayotumika kuwalaza wagonjwa wa Corona (COVID-19), Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/+lastest/default.jpg)
5 years ago
MichuziWagonjwa wapya 53 wa corona waongezeka, Amana Sasa kupokea wenye dalili badala ya Muhimbili
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akipokea misaada kutoka katika kampuni mbalimbali kwa ajili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OKVznBOGPIA/XqGdVtDW0LI/AAAAAAALoBQ/ka0Jrbmq7DQqVO7rgIHQyoPHOHUaNbOOgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAGONJWA WA COVID-19 WAZUA TAHARUKI KATIKA HOSPITALI YA AMANA BAADA KUAMUA KUTOKA WODINI, MJEMA ATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OKVznBOGPIA/XqGdVtDW0LI/AAAAAAALoBQ/ka0Jrbmq7DQqVO7rgIHQyoPHOHUaNbOOgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
TAHARUKI kubwa imeibuka leo katika Hospital ya Amana jijini Dar es Salaam baada ya baadhi ya wagonjwa wa Covid-19 waliokuwa wanapatiwa matibababu kufanya vurugu na kutaka kuondoka warudi majumbani kwao.
Taarifa za wagonjwa wa Covid-19 kufanya vurugu za kutaka kuondoka Hospitali ya Amana zilianza kusambaa Kama upepo tangu asubuhi ya leo, hata hivyo inaelezwa walinzi waliokuwa hospitalini hapo kutoka Suma JKT wamefanya kazi kubwa ya kutuliza vurugu zilizoanzishwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9SzRQw0VPc/XqUwLzKSPZI/AAAAAAAAJts/i1i-k5MOdmwmeJrjW4vBmdnI-T-ipMihQCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B2.jpg)
Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVchssb9eP4/XqUwL9rYO1I/AAAAAAAAJt0/-HWZUnwo1U4yzHAn5tQipuQ4RbiMVZPEACLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B3.jpg)
Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Wapinga kulazimishwa mafunzo
WANANCHI wa kijijiji cha Kicheba, wilayani Muheza wamemuomba Mkuu wa wilaya hiyo, Subira Mgalu, kufika kijijini hapi ili awapatie ufafanuzi kuhusu viongozi wao kuwakamata na kuwalazimisha kufanya mafunzo ya mgambo...