Fahamu kwa undani sakata la kujiuzulu kwa rais wa Guatemala
Masaa machache baada ya rais wa Guatemala, Otto Perez Molina kujiuzalu, alitupwa jela kusubiri kesi yake ya upotevu wa fedha nyingi ambazo zimetikisha nchi hiyo kiuchumi na kanda nzima. Maamuzi hayo yalifikiwa baada ya maandamano ambayo yamekuwa yakifanywa toke mwezi wa nne wakimtaka aondoke madarakani na kushtakiwa kwa makosa ya rushwa kubwa. Kitu hicho ambacho […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Rais Ibrahim Boubacar Keïta: Maelfu ya waandamanaji watoa wito kwa rais wa Mali kujiuzulu
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HTawiSqwWbU/VgQpmqPUTxI/AAAAAAAH7BM/URQI0tGguK0/s72-c/ss.png)
Kujiuzulu kwa Makamu Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Kufuatia Uteuzi Mpya..
![](http://3.bp.blogspot.com/-HTawiSqwWbU/VgQpmqPUTxI/AAAAAAAH7BM/URQI0tGguK0/s640/ss.png)
11 years ago
GPL26 Dec
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CCM DMV KUJIUZULU KWA KATINU MKUU, JACOB KINYEMI
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LofQGOS0bCM/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r7p*ZGFOG0kr9FHq2lRil08mIdsIfdHpduElPPGaix8ouXXRVQOmd-UiqwFmXJNUQjUTph4f76rpVnUEcp71XSL/Polisi.jpg?width=650)
UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI
10 years ago
Bongo Movies29 Mar
Mfahamu kwa Undani Muigizaji ‘ODAMA’
Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza katika Hospital ya Bugando.
Safari yake ya sanaa ilianza mnamo mwaka 2006, na movie yake ya kwanza kuigiza ilikuwa inaitwa SHUMILETA, Movie iliyoandaliwa na producer na director maarufu nchini, Mussa Banzi, watu wengi walianza kumfahamu kwenye movie hiyo ya kutisha aliyocheza kama Monte.
Movie ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGNk0DD5iwUK-TT-u9pgWEvCDGHTZMsUWDGIgd-DBrUnIXLZ6rRSYfoUtrQczx19fW80afM3MLkWXpa*j4*g1bo/SarataniYaTeziDume.jpg?width=650)
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-z4hYp0tXVoM/VaEklZhyurI/AAAAAAABRhY/-VS1C6rysbQ/s72-c/CJljHQhWIAA3xsD.png)
WAJUE KWA UNDANI WAGOMBEA WATANO WALIOPITISHWA NA KAMATI KUU (CC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z4hYp0tXVoM/VaEklZhyurI/AAAAAAABRhY/-VS1C6rysbQ/s640/CJljHQhWIAA3xsD.png)
1: BENARD MEMBE
Benard Kamillius Membe ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizaliwa tarehe 09 Novemba 1953, katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi Vijijini.
Membe ana shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma na ana shahada ya umahiri ya Uhusiano wa Kimataifa.
Membe aliajiriwa kwenye Ofisi ya Rais na kufanya kazi kwa miaka 6 kabla hajaanza shahada ya kwanza na baadaye alirudi vyuoni kusoma na kuhitimu...