Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kujiuzulu kwa Makamu Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Kufuatia Uteuzi Mpya..


Ndugu Zangu Wana-DMV, Napenda kuchukua fursa hii kuwafahamisha kwamba tarehe 14/9/2015, niliteuliwa rasmi kuwa makamu mwenyekiti wa African Affairs Advisory Group (AAAG) iliyopo chini ya serikali ya kata ya Montgomery, Maryland (Montgomery County). Nafasi hii inausika na nyanja zote za maswala ya wahamiaji toka barani Afrika hususani; elimu,uchumi,uhamiaji, afya, tamaduni, bajeti,sera na miswada itakayoboresha huduma za jamii kwa Waafrika. Kutokana na majukumu haya, nimejiuzulu katika nafasi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

HARRIET SHANGARAI: MGOMBEA WA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV ANAOMBA KURA YAKO

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.HARRIET SHANGARAI
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia, nimekuwa muhamasishaji wa misaada ya elimu,chakula mavazi na malazi kwa watoto yatima. Kwa ufupi  nimeona mafanikio ya kina, japo bado wahitaji ni wengi.Vile vile,...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa DMV unapenda kuwajulisha watanzania wote kukaa mkao wa kula , kwa ajili ya sherehe za muungano zitakazofanyika, Jumamosi April 25, 205.
Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.
Wadhamini WanakaribishwaWasiliana na uongozi kupitia
President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...

 

10 years ago

Michuzi

UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KAAT) YAFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (Kushoto) akiwakaribisha viongozi wa KAAT walipokwenda kumtembelea na kufanya nae mazungumzo nyumbani kwake. Katikati ni Rais Mpya wa KAAT, Bw. Stephen Katemba na Kulia ni Bw. Bukheti Juma ambaye ni Makamu wa Rais, KAAT (Zanzibar). Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (Kushoto) akifurahia jambo na viongozi wa KAAT, Bw. Stephen Katemba (Katikati) na Bw. Bukheti Juma (Kulia). Viongozi hao walipokwenda kumtembelea na...

 

10 years ago

Michuzi

SALAAMA ZA RAMBIRAMBI TOKA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALI KUFUATIA AJALI YA MUSOMA

TUNAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KATIKA KUOMBOLEZA MSIBA MKUBWA WA TAIFA
"Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Mjini Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka."
JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA IMEPOKEA TAARIFA ZA AJALI KWA MASIKITIKO  NA MSHITUKO MKUBWA SANA.
TUNAWAPA POLE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE WALIOPOTEZA...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA MAANDALIZI NA MAPAMBO YA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV


 Kamati ya maandalizi na mapambo ikipata picha ya pamoja baada ya kupamba ukumbi wa Oxford uliopo Lanham, Maryland katika kujiandaa kusherehekea kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015

 

11 years ago

Michuzi

Sera za Libe Mgombeya wa Jumuiya ya waTanzania DMV

Kutakuwa na Mkutano wa Sera za Mkombea wa Jumuiya ya waTanzania DMV Bwna Liberatus Mwang'ombe Atakachoongea katika mkutano wake ni  Kuhusu Elimun Diversity visa Lotterry/ YOUNG African Leaders Initiatives Jumiaya na Afya, Baraza la ushauri, Darasa la Kiswahili. Ushirikiano na umoja, Jumuiya na wajasiriamali, Jumuia na vyanzo vya mapato, Jumuiya na mrejesho wa ubalozi, "Power of attorney" , Mkutano huo utafanyika Siku ya Jumamosi, June 28, 2014 kuanzia saa 10 Alasiri (4pm)...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sera za Harriet Shangarai mgombeya wa jumuiya ya watanzania DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.

DSC00335 (2)

Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni.(Photo Via Swahilivillablog)

Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sera za Libetatus Mwang’ombe mgombea wa jumuiya ya watanzania DMV

libe

Kutakuwa na Mkutano wa Sera za Mkombea wa Jumuia ya waTanzania DMV Bwana Liberatus Mwang’ombeAtakachoongea katika mkutano wake ni Kuhusu Elimun Diversity visa Lotterry/ YOUNG African Leaders Initiatives.Jumuia na Afya, Baraza la ushauri, Darasa la Kiswahili.Ushirikiano na umoja, Jumuiya na wajasiriamali, Jumuia na vyanzo vya mapato,

Jumuiya na mrejesho wa ubalozi, “Power of attorney” ,Mkutano huo utafanyika Siku ya Jumamosi, June 28, 2014

kuanzia saa 10 Alasiri (4pm)Meadowbrook Park

7901...

 

11 years ago

Michuzi

SERA ZA HARRIET SHANGARAI MGOMBEA UMAKAMU MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV

Na Hariet Shangaei Washington DC  Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV. Hariet Shangarai, Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV alipikuwa katika kampeni. (Photo Via Swahilivillablog)
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani