SALAAMA ZA RAMBIRAMBI TOKA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALI KUFUATIA AJALI YA MUSOMA
TUNAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KATIKA KUOMBOLEZA MSIBA MKUBWA WA TAIFA
"Jana September 5 2014 kwenye eneo la Sabasaba Mjini Musoma ilitokea ajali mbaya sana ya mabasi mawili yakiwa na abiria na kulihusisha gari jingine dogo ambapo majeruhi ni zaidi ya 70 na waliofariki ni 39 Wanawake kwa Wanaume kwa mujibu wa taarifa mpya za vifo zilizotoka."
JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA IMEPOKEA TAARIFA ZA AJALI KWA MASIKITIKO NA MSHITUKO MKUBWA SANA.
TUNAWAPA POLE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE WALIOPOTEZA...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gdZMzPt6rsI/VPQh1kt1YKI/AAAAAAAHG8A/Jz8nz-Izx20/s72-c/download.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA MHESHIMIWA CAPTAIN JOHN DAMIANO KOMBA (MB) TOKA BASATA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gdZMzPt6rsI/VPQh1kt1YKI/AAAAAAAHG8A/Jz8nz-Izx20/s1600/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s72-c/L.jpg)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s1600/L.jpg)
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
10 years ago
Bongo505 Sep
Show ya Fiesta Musoma yaahirishwa kufuatia ajali ya mabasi 2 iliyosababisha vifo vya zaidi ya watu 45
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PWN8YT974CA/VSBaoZS8g1I/AAAAAAAHPWM/aTHnZyRKOXE/s72-c/11133973_799243006819595_5116734814997625332_n.jpg)
TFF YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI SIMBA SC KUFUATIA AJALI WALIYOPATA WASHABIKI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-PWN8YT974CA/VSBaoZS8g1I/AAAAAAAHPWM/aTHnZyRKOXE/s1600/11133973_799243006819595_5116734814997625332_n.jpg)
Katika salamu zake Rais Malinzi amesema, TFF imezipokea kwa masikitiko taarifa hizo za ajali na kwa niaba ya familia ya mpira wa miguu nchini, wanawapa pole wafiwa wote na mwenyezi Mungu awape nguvu majeruhi waweze kupata nafuu na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CJthSIsnhVY/U9o3FPrMh1I/AAAAAAAF8Bk/2u3h8w85-MA/s72-c/New+Picture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA PANDAMBILI MKOANI DODOMA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://3.bp.blogspot.com/-CJthSIsnhVY/U9o3FPrMh1I/AAAAAAAF8Bk/2u3h8w85-MA/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai,...
10 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s1600/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HTawiSqwWbU/VgQpmqPUTxI/AAAAAAAH7BM/URQI0tGguK0/s72-c/ss.png)
Kujiuzulu kwa Makamu Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV, Kufuatia Uteuzi Mpya..
![](http://3.bp.blogspot.com/-HTawiSqwWbU/VgQpmqPUTxI/AAAAAAAH7BM/URQI0tGguK0/s640/ss.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...