Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, leo hatutakuwa na masimulizi ya Tamthiliya ya Be Careful With My Heart. Badala yake tutangalia wasifu wa mhusika mkuu katika tamthiliya hiyo, Jodi Santamaria ambaye anafahamika kama Maya dela Rosa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MJUE KWA UNDANI JAJI ANAYETOA HUKUMU YA OSCAR ISTORIUS

JAJI Thokozile Matilda Masipa mwenye umri wa miaka 66, alizaliwa Oktoba 15, 1947 Soweto nchini Afrika Kusini na wakati mmoja aliajiriwa kama karani na mpishi wa chai. Jaji Thokozile Matilda Masipa akisoma hukumu ya Pistorius. Kuna kipindi nusura aachane na masomo yake kwa kuwa alidhani hatafanikiwa kwa vyovyote vile licha ya masomo aliyokuwa anachukua. Lakini mama yake aliendelea kumpa motisha ya kuendelea na masomo yake....

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjue kwa undani Zahara M. Michuzi Ubunge viti maalum Tabora

Na Jeff Msangi  wa TBN Ughaibuni

Nyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.

Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;

*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001

*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005

*Shule Ya...

 

10 years ago

GPL

MJUE KWA UNDANI MGOMBEA URAIS WA CCM, MHE. JOHN POMBE MAGUFULI

- Alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato, wakati huo ikiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera (sasa mkoa wa Geita).
- Mwaka 2006 – 2009, Shahada ya Uzamivu ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mwaka 1991 – 1994, Shahada ya Uzamili ya Kemia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na baadaye Chuo Kikuu  cha Salford, Uingereza. - Mwaka 1985 – 1988, alisoma Shahada ya Kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu...

 

10 years ago

Vijimambo

MFAHAMU KWA UNDANI ZARINAH MWANAMKE ANAYEZIMA NYOTA YA WEMA SEPETU

Zari alisema umaarufu unamtafuta yeye na sio kwamba yeye anautafutaJINA la Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum. Zari The Lady Boss

Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook,Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond...

 

11 years ago

GPL

DELA: VAZI LINALOTAMBA KWA KINA MAMA SEHEMU NYINGI

Vazi lenye staha kama inavyoonekana kwa kina mama hawa.    Wema Sepetu (katikati) na wenzake wakiwa wamejipamba na madela yao.    Mwanadada akimwaga radhi maeneo ya Msasani akiwa kavaa…

 

9 years ago

Bongo5

Fahamu kwa undani sakata la kujiuzulu kwa rais wa Guatemala

Masaa machache baada ya rais wa Guatemala, Otto Perez Molina kujiuzalu, alitupwa jela kusubiri kesi yake ya upotevu wa fedha nyingi ambazo zimetikisha nchi hiyo kiuchumi na kanda nzima. Maamuzi hayo yalifikiwa baada ya maandamano ambayo yamekuwa yakifanywa toke mwezi wa nne wakimtaka aondoke madarakani na kushtakiwa kwa makosa ya rushwa kubwa. Kitu hicho ambacho […]

 

10 years ago

GPL

JANUARY, KWA HILI LA UIGIZAJI SI KWA LOWASSA TU

Naibu Waziri wa Sayansi na Teknolojia, January Makamba. UPO katika mwaka wa Uchaguzi Mkuu ambao utafanyika Oktoba mwaka huu, utakaoipatia nchi yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania rais wake wa tano, ambaye kwa mujibu wa katiba yetu, atakaa madarakani kwa muda usiozidi miaka kumi katika vipindi vya miaka mitano mitano. Tatizo hasa lipo CCM ambako dazani ya wanachama wake, kila mmoja anaamini anao uwezo wa kukalia kiti kile cha...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mfahamu kwa Undani Muigizaji ‘ODAMA’

Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza katika Hospital ya Bugando.

Safari yake ya sanaa ilianza mnamo mwaka 2006, na movie yake ya kwanza kuigiza ilikuwa inaitwa SHUMILETA, Movie iliyoandaliwa na producer na director maarufu nchini, Mussa Banzi, watu wengi walianza kumfahamu kwenye movie hiyo ya kutisha aliyocheza kama Monte.

Movie ya...

 

9 years ago

GPL

UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI

Na Francis Godwin, Iringa JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limeanza uchunguzi kujua chanzo cha askari wake wa upelelezi, Paschal Shila (pichani)kujiua kwa kujipiga risasi muda mfupi baada ya kudanganya kuna sehemu kulikuwa na uhalifu hivyo kukabidhiwa bunduki huku akiwa ametoka kugombana na mke wake. Askari huyo ambaye kabla ya kutoka katika ghala la silaha, alitoroka wenzake ambao walipaswa kwenda naye kwenye kazi siku hiyo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani