Mfahamu kwa Undani Muigizaji ‘ODAMA’
Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza katika Hospital ya Bugando.
Safari yake ya sanaa ilianza mnamo mwaka 2006, na movie yake ya kwanza kuigiza ilikuwa inaitwa SHUMILETA, Movie iliyoandaliwa na producer na director maarufu nchini, Mussa Banzi, watu wengi walianza kumfahamu kwenye movie hiyo ya kutisha aliyocheza kama Monte.
Movie ya...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XFI7_46QN9Y/VLZk-E0ptGI/AAAAAAAAmdY/JDn9L2jeKTg/s72-c/Zari-9.jpg)
MFAHAMU KWA UNDANI ZARINAH MWANAMKE ANAYEZIMA NYOTA YA WEMA SEPETU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-s8mQ_XZpKKw%2FVLa9W4ARInI%2FAAAAAAADVg4%2Fv1H3q9E3FFU%2Fs1600%2F-713.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-jR9BEQSdniw%2FVLa9W1JYcVI%2FAAAAAAADVg0%2FhGbFwjwNjDo%2Fs1600%2F40e2bea86e4f11e38b580eb92918f00c_8.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XFI7_46QN9Y/VLZk-E0ptGI/AAAAAAAAmdY/JDn9L2jeKTg/s640/Zari-9.jpg)
Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook,Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond...
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Mfahamu kwa undani zaidi mwanadada ZARI wa Uganda aliyetibua penzi la WEMA na Diamond. Ni tajiri balaaa!
INA Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum.
Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook, Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond na wengine wataunganisha na Wema Sepetu aliyewahi kuwa mpenzi wa Diamond.
Uhusiano...
9 years ago
Bongo505 Sep
Fahamu kwa undani sakata la kujiuzulu kwa rais wa Guatemala
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe7rqfDZ-gQl-07oHz3Jxl9STZD5xx1CxUo8vAjYqtgg4jcfMjjICeIashJLJf1jTnm1GdOsVWUEpZDvhNvXC4yf/odama.jpg)
ODAMA AMUEZI NYERERE KWA MADONGO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r7p*ZGFOG0kr9FHq2lRil08mIdsIfdHpduElPPGaix8ouXXRVQOmd-UiqwFmXJNUQjUTph4f76rpVnUEcp71XSL/Polisi.jpg?width=650)
UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI
10 years ago
Bongo506 May
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAGNk0DD5iwUK-TT-u9pgWEvCDGHTZMsUWDGIgd-DBrUnIXLZ6rRSYfoUtrQczx19fW80afM3MLkWXpa*j4*g1bo/SarataniYaTeziDume.jpg?width=650)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-z4hYp0tXVoM/VaEklZhyurI/AAAAAAABRhY/-VS1C6rysbQ/s72-c/CJljHQhWIAA3xsD.png)
WAJUE KWA UNDANI WAGOMBEA WATANO WALIOPITISHWA NA KAMATI KUU (CC)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z4hYp0tXVoM/VaEklZhyurI/AAAAAAABRhY/-VS1C6rysbQ/s640/CJljHQhWIAA3xsD.png)
1: BENARD MEMBE
Benard Kamillius Membe ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizaliwa tarehe 09 Novemba 1953, katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi Vijijini.
Membe ana shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma na ana shahada ya umahiri ya Uhusiano wa Kimataifa.
Membe aliajiriwa kwenye Ofisi ya Rais na kufanya kazi kwa miaka 6 kabla hajaanza shahada ya kwanza na baadaye alirudi vyuoni kusoma na kuhitimu...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji