Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfahamu kwa Undani Muigizaji ‘ODAMA’

Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza katika Hospital ya Bugando.

Safari yake ya sanaa ilianza mnamo mwaka 2006, na movie yake ya kwanza kuigiza ilikuwa inaitwa SHUMILETA, Movie iliyoandaliwa na producer na director maarufu nchini, Mussa Banzi, watu wengi walianza kumfahamu kwenye movie hiyo ya kutisha aliyocheza kama Monte.

Movie ya...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MFAHAMU KWA UNDANI ZARINAH MWANAMKE ANAYEZIMA NYOTA YA WEMA SEPETU

Zari alisema umaarufu unamtafuta yeye na sio kwamba yeye anautafutaJINA la Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum. Zari The Lady Boss

Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook,Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mfahamu kwa undani zaidi mwanadada ZARI wa Uganda aliyetibua penzi la WEMA na Diamond. Ni tajiri balaaa!

INA Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum.

Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook, Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond na wengine wataunganisha na Wema Sepetu aliyewahi kuwa mpenzi wa Diamond.

Uhusiano...

 

9 years ago

Bongo5

Fahamu kwa undani sakata la kujiuzulu kwa rais wa Guatemala

Masaa machache baada ya rais wa Guatemala, Otto Perez Molina kujiuzalu, alitupwa jela kusubiri kesi yake ya upotevu wa fedha nyingi ambazo zimetikisha nchi hiyo kiuchumi na kanda nzima. Maamuzi hayo yalifikiwa baada ya maandamano ambayo yamekuwa yakifanywa toke mwezi wa nne wakimtaka aondoke madarakani na kushtakiwa kwa makosa ya rushwa kubwa. Kitu hicho ambacho […]

 

10 years ago

GPL

ODAMA AMUEZI NYERERE KWA MADONGO

Stori: Mwandishi Wetu MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameonyesha kumuenzi hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa staili ya kurusha madongo kwa viongozi mbalimbali jinsi mambo mengi yanavyokwenda ndivyo sivyo nchini. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’. Akipiga stori na mwanahabari wetu juu ya namna ambavyo anamkumbuka kiongozi huyo wa taifa ambaye...

 

9 years ago

GPL

UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI

Na Francis Godwin, Iringa JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limeanza uchunguzi kujua chanzo cha askari wake wa upelelezi, Paschal Shila (pichani)kujiua kwa kujipiga risasi muda mfupi baada ya kudanganya kuna sehemu kulikuwa na uhalifu hivyo kukabidhiwa bunduki huku akiwa ametoka kugombana na mke wake. Askari huyo ambaye kabla ya kutoka katika ghala la silaha, alitoroka wenzake ambao walipaswa kwenda naye kwenye kazi siku hiyo na...

 

10 years ago

Bongo5

Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari

Mahakama ya nchini India imemhukumu muigizaji wa Bollywood, Salman Khan kifungo cha miaka mitano jela kwa kumgonga na kumuua mtu asiye na makazi mwaka 2002 mjini Mumbai. Mtu huyo alikuwa mmoja wa watu wengine watano waliogongwa kwenye tukio hilo. Muigizaji huyo alikuwa akikabiliwa na kosa la kuua bila kukusudia. Khan alikuwa akijitetea kuwa ni dereva […]

 

10 years ago

Vijimambo

WAJUE KWA UNDANI WAGOMBEA WATANO WALIOPITISHWA NA KAMATI KUU (CC)


1: BENARD MEMBE

Benard Kamillius Membe ni Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi na ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, alizaliwa tarehe 09 Novemba 1953, katika Kijiji cha Rondo-Chiponda, Wilaya ya Lindi Vijijini.
Membe ana shahada ya kwanza ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma na ana shahada ya umahiri ya Uhusiano wa Kimataifa.

Membe aliajiriwa kwenye Ofisi ya Rais na kufanya kazi kwa miaka 6 kabla hajaanza shahada ya kwanza na baadaye alirudi vyuoni kusoma na kuhitimu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu, leo hatutakuwa na masimulizi ya Tamthiliya ya Be Careful With My Heart. Badala yake tutangalia wasifu wa mhusika mkuu katika tamthiliya hiyo, Jodi Santamaria ambaye anafahamika kama Maya dela Rosa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani