Mjue kwa undani Zahara M. Michuzi Ubunge viti maalum Tabora
Na Jeff Msangi wa TBN Ughaibuni
Nyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.
Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;
*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001
*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005
*Shule Ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5XoFRHB0KOUNwA9wVVni4LxCn6f9KVwKXkJmStOAN4zaxcbd49VDR5kvlRk0-6nhqk4SIKPxR8Ji6ncl2hm-8wU/unnamed285729.jpg?width=650)
ZAHARA KUGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM, TABORA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-t4Rf0wh2cuE/VaZ8iORxTOI/AAAAAAAAFuc/bM7lxun7IVE/s72-c/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25281%2529.jpg)
Binti wa Michuzi Ajitoa Kimasomaso; Achukua Form ya Ubunge wa Viti Maalum
![](http://1.bp.blogspot.com/-t4Rf0wh2cuE/VaZ8iORxTOI/AAAAAAAAFuc/bM7lxun7IVE/s640/zahara_michuzi_viti_maalum_ccm_tabora%2B%25281%2529.jpg)
Zahara Michuzi alipowasili katika ofisi za CCM mkoa wa Tabora ili kuchukua form ya kugombea viti maalum kwa vijana.
Zahara Michuzi ni binti wa Issa Michuzi blogger na mpiga picha hodari wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anamalizia muda wake sasa.
Binti wa Michuzi mara baada ya kuhitimu elimu yake ya shahada yake ya uchumi UDOM ameona ni vyema akawatumikua wananchi wa nyumbani kwake mkoani Tabora kwa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa viti maalum kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Bgv7PnLvuh8/VcFkLs-oitI/AAAAAAAD2dQ/YqUh3-qn4fM/s72-c/11800108_961164497280878_5219527663753180617_n.jpg)
Msanii maarufu wa Bongo movie, Irene Uwoya ameshinda kura za maoni Ubunge Viti Maalum(vijana)Tabora, kwa tiketi ya CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bgv7PnLvuh8/VcFkLs-oitI/AAAAAAAD2dQ/YqUh3-qn4fM/s640/11800108_961164497280878_5219527663753180617_n.jpg)
Msanii maarufu wa Bongo movie, Irene Uwoya ameshinda kura za maoni Ubunge Viti Maalum(vijana)Tabora, kwa tiketi ya CCM
-Amepata kura 38 huku mpinzani wake akipata kura 34Tarime Mjini na Tarime Vijijini zoezi la kupiga kura limeahirishwaKumetokea vurugu kwenye mchakato wa kura za maoni CCM hapa Tarime, kwani zimekutwa karatasi za kupigia kura zaidi ya 25000 zikiwa zimeshatikiwa majina ya wagombea wawili MH GAUDENSIA KABAKA (TARIME MJINI) na NYAMBARI NYANGW'INE (TARIME VIJIJINI).Kutokana na...
10 years ago
VijimamboZAHARA MUHIDIN MICHUZI KURA HAZIKUTOSHA DHIDI YA IRENE UWOYA TABORA
Leo hii mchana binti ya mpiga picha wa rais Kikwete katika na blogger maarufu hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
KILA LA HERI BINTI YETU ZAHARA KWENYE KURA ZA MAONI ZA UBUNGE WA CCM VIJANA MKOANI TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005*Shule Ya Sekondari Ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U5iV4xqw45M/default.jpg)
MIAKA 10 YA MICHUZI BLOG MJUE MICHUZI ALIKOTOKEA NA UPIGAJI PICHA
Hii Video ililekodiwa mwaka 2011 ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa6tVIKYRV-svmQdFC6raUDh*u9NxNA5YxXuOZyM-JwmCVawqKbuGQ62JRmkYPPvVhyxC8EXM05spXu*Gd4XlI*o/JAJIThokozileMasipa.jpg?width=650)
MJUE KWA UNDANI JAJI ANAYETOA HUKUMU YA OSCAR ISTORIUS
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Mjue kwa undani Maya Dela Rosa nyota wa uigizaji
10 years ago
Bongo Movies20 Jul
Picha: Irene Uwoya Akichukua Fomu, Viti Maalum Tabora
Haya kamanda UWOYA anaonekana akichukua fomu ya kuwania viti maalum vya ubunge huko tabora kwa tiketi ya CCM ,
twakutakia mafanikio mema katika safari yako ya kwenda kwa kuwatumikia wanamchi wa TABORA bungeni watanzania wanajua uwezo wako na wanakusubilia jumba jeupe tu pale pale wanapopalilia wengi kwenda
William Mtitu on Instagram