Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CATHY AELEZA ALIVYOKOSA MAPENZI YA MAMA

Makala: Gabriel Ng’osha
WIKI iliyopita tulianza makala haya ambapo tuliona jinsi mwigizaji Sabrina Rupia ‘Cathy’ alivyoanza kujitegemea akiwa na umri mdogo, leo tunaendelea kuona vitu vingine alivyopitia maishani mwake:
Mwandishi: Kwa nini uliamua kujitegemea ukiwa mdogo? Mwigizaji wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ akipozi. 01Cathy: Ni kweli sikustahili kujitegemea maana nilikuwa mdogo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CATHY AELEZA SABABU ZA KUPENDA KUZIDIWA UMRI NA MUMEWE

Makala: Gabriel Ng’osha TUNAMALIZIA makala haya ya Sabrina Rupia ‘Cathy’ tuliyoyaanza wiki tatu zilizopita, mwigizaji huyu alifunguka mambo mengi kuhusiana na maisha yake, bila shaka kupitia mfululizo wa makala haya, msomaji utakuwa umejifunza vitu vingi kutokana na hatua ambazo amepitia maishani na leo hapa anafunguka kuhusu  anavyofurahia maisha ya ndoa kwa kuolewa na mume ambaye amemzidi umri
SHUKA...

 

10 years ago

GPL

JB AELEZA ALIVYOANZA UIGIZAJI KWA KULAZIMISHWA NA MAMA’KE

WIKI iliyopita, tuliishia kwa kueleza jinsi alivyojitosa rasmi kwenye biashara ya kuuza nafaka za mahindi na mpunga akitoa katika mikoa ya Mbeya na Tanga. Tuliishia kwenye kipengele cha alipougua fangasi. Je, nini kilifuata? Endelea sasa hapa......http://bit.ly/1Vd9Uek

 

10 years ago

GPL

MAPENZI: WEMA NA BABA, DIAMOND NA MAMA

Stori: Hamida Hassan
Tofauti na mastaa wengine ambao huandika majina ya wapenzi wao kwenye miili yao kuonesha jinsi wanalivyo na mapenzi nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Wema Sepetu wamekuwa tofauti, Ijumaa limegundua. Tattoo ya Diamond Platinum ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto. Mastaa hawa wameonyesha kuwa na mapenzi na wazazi wao ambapo mwandishi wetu amebaini Diamond ameandika jina la mama yake mkononi...

 

10 years ago

GPL

MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!

Gabriel Ng’osha Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua kisha kukiweka kichanga kwenye begi na kukitupa shambani, kisa kikielezwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi na mwanaume aliyempa ujauzito. Mama anadaiwa kutupa kichanga hicho akijaribu kuangalia huku na kule kama kuna mtu anamuona alifahamika kwa jina la mama Janeth. Mmoja wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA KANUMBA NA LULU NDANI YA FILAMU MPYA IITWAYO "MAPENZI YA MUNGU"

Hivi karibu Msanii Mahiri na Nguli katika tasnia ya filamu nchini Elizabeth Michael almaarufu kama LULU ataibuka na filamu yake Mpya na yenye kusisimua iitwayo "MAPENZI YA MUNGU" ambapo moja kati ya washiriki katika filamu hiyo ni Bi Flora Mtegoha ambae ni Mama Mzazi wa aliyekuwa Msanii Nguli wa Kiume Hapa Bongo Marehemu Steven Kanumba.Filamu ya "Mapenzi ya Mungu" ni moja ya filamu ambayo Lulu ameonyesha uwezo wa hali ya na kuthibitisha kuwa ni mmoja kati ya wasanii wa kike hapa Tanzania...

 

10 years ago

Bongo5

Oscar Pistorius na Reeva Steenkamp hawakuwahi kufanya mapenzi — asema Mama Reeva

Oscar Pistorius na aliyekuwa mpenzi wake Reeva Steenkamp hawakuwahi kufanya mapenzi, mama yake, June Steenkamp ameandika kwenye kitabu chake. Kwenye kitabu hicho, “Reeva: a Mother’s Story”, June Steenkamp aliandika kuwa binti yake alimueleza kuwa pamoja na kwamba walilala pamoja, hawakuwahi kufanya mapenzi sababu Reeva hakutaka kuupeleka uhusiano wao katika kiwango hicho. Pistorius alihukumiwa miaka mitano […]

 

10 years ago

GPL

MAMA KANUMBA, LULU NDANI YA FILAMU MPYA IITWAYO 'MAPENZI YA MUNGU'

Hivi karibu Msanii Mahiri na Nguli katika tasnia ya filamu nchini Elizabeth Michael almaarufu kama LULU ataibuka na filamu yake Mpya na yenye kusisimua iitwayo 'MAPENZI YA MUNGU' ambapo moja kati ya washiriki katika filamu hiyo ni Bi Flora Mtegoha ambae ni Mama Mzazi wa aliyekuwa Msanii Nguli wa Kiume Hapa Bongo Marehemu Steven Kanumba. Filamu ya 'Mapenzi ya Mungu' ni moja ya filamu ambayo Lulu ameonyesha uwezo wa hali ya na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

11 years ago

GPL

MAWIFI WAMKERA CATHY

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa anakerwa na tabia za mawifi kuwachukia wake za kaka zao bila sababu za msingi. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ Akichonga na paparazi wetu, Cathy alisema mawifi wengi huwachukia na kuwawekea vinyongo wake wa kaka zao hata kama hawajawakosea, kitu ambacho kinamkera na anaamini siyo yeye peke...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani