CATHY AELEZA SABABU ZA KUPENDA KUZIDIWA UMRI NA MUMEWE
![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6p-WaMJi1MVDMpkjZMVfIigxYH8e0kWP7dToO9I466aWvBUjm3c7PqWXDSSYY0nWGV*0JYL4MCIXPKQh3VQgwKZ/CATHY.jpg)
Makala: Gabriel Ng’osha TUNAMALIZIA makala haya ya Sabrina Rupia ‘Cathy’ tuliyoyaanza wiki tatu zilizopita, mwigizaji huyu alifunguka mambo mengi kuhusiana na maisha yake, bila shaka kupitia mfululizo wa makala haya, msomaji utakuwa umejifunza vitu vingi kutokana na hatua ambazo amepitia maishani na leo hapa anafunguka kuhusu anavyofurahia maisha ya ndoa kwa kuolewa na mume ambaye amemzidi umri SHUKA...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies14 May
Lulu Akili na Kutoa Sababu ya Kupenda Kutoka na Wanaume Waliomzidi Umri
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekili kupenda kuwa na mahusiano na ya kimapenzi na wanaume waliomzidi sana umri.
Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.
SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,
LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...
10 years ago
Bongo Movies14 May
Lulu Akili na Kutoa Sababu ya Kupenda Watoka na Wanaume Waliomzidi Umri
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekili kupenda kuwa na mahusiano na ya kimapenzi na wanaume waliomzidi sana umri.
Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.
SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,
LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRn1IaWtYpfsvS9O0guYrE5YkYXXHTXAm4M*zLxeWyolbdhMfrU0cWhlXZnDEcy2agxYz6Ox9wCem-aCZbcguQur/CATHY.jpg)
CATHY AELEZA ALIVYOKOSA MAPENZI YA MAMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyALzJWo1**aeQ1EPFSe1shUETOa6PLsspfd4viZYRP*oCYkLbq5WH9tP5jsgfm751-nTwd-PdfK4nESwV5I41yFL/batu.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA KUTOOLEWA
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Dk Nchimbi aeleza sababu za kuwajibika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaH87hV*y5BfGCDehNQ9MCDD1Q7BdL2aEjCJjb0UArLwTY*3JCEPmvAk2Q-6UDmrRi23fATcYTc0hvHWhRyUsd8I/bozi.jpg)
BOZI AELEZA SABABU ZA KUTODUMU PENZINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXGXWUaWnMd*cPXRaxFDDS7NQeeW3eLRU-54ht-fbct3fg6acQtBbcSe5KURiE9S8exNYeJbbn8QrTS8ipIAkLnr/batuli.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE
9 years ago
Mtanzania30 Sep
G Nako aeleza sababu za ‘Weusi’ kutokufa
NA SHARIFA MMASI
RAPA mahiri kutoka kundi la Weusi lenye maskani yake mkoani Arusha, George Mdemu ‘G Nako’, amesema
upendo, umoja, kutodharau na kufanyia kazi ushauri wa mashabiki wao ndiyo misingi inayoliwezesha kundi hilo lisivunjike kama makundi mengine yaliyowahi kuwika kwa muda mfupi kabla ya kusambaratika.
“Sababu hizo tuliziweka kwa pamoja wakati tulipoanzisha kundi letu hilo ambalo kwa sasa ni kampuni.
“Makundi mengi yanasahau kwamba nidhamu ni kitu muhimu katika kila kazi, wengi wao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49agDaElOtf2QQpueBVuEin**yzIuqF20TWmMmiB6bwzhuL6tuBLMUVAD9GqOTMhrO17eGEZLHGmLa4qIx4H4wE5/Aunt.gif?width=650)
AUNT EZEKIEL AELEZA SABABU YA KUMFICHA MWANAYE