AUNT EZEKIEL AELEZA SABABU YA KUMFICHA MWANAYE
![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49agDaElOtf2QQpueBVuEin**yzIuqF20TWmMmiB6bwzhuL6tuBLMUVAD9GqOTMhrO17eGEZLHGmLa4qIx4H4wE5/Aunt.gif?width=650)
Chande Abdallah Msanii wa filamu ambaye amejipatia hadhi ya kuitwa mama baada ya kujifungua mtoto wa kike aliyempa jina la Cookie la Princessa, Aunt Ezekiel, amefunguka sababu ya kumficha sura mwanaye ambaye tangu amezaliwa sura yake hajaiweka wazi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1GnDv9E
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 May
Aunt Ezekiel: Naomba Mungu Nijifungue Salama, Sababu Watu….
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ambaye hivi sasa ni mjamzito ameeleza kuwa kila saa na kila siku anamuomba Mungu amjaalie ajifungue salama maana maneno ya watu yamekuwa yakimtisha.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa hivi karibuni nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar, Aunt alisema kuna watu ambao wamekuwa wakimuombea mabaya kutokana na chuki zao lakini yeye anaamini Mungu ndiye kila kitu kwake.
“Wapo watu ambao wanaisengenya mimba yangu, wananisema vibaya, wananiombea mabaya kiasi cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ajnzhkLY9k6vghkYnBkuPejvKMybZGVj2acEImb9p8TTpvR9aNO*1IBeLWNpqEypcO4hf0sqQ2uhh9f4vf0Aja/e.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA KUMFICHA MWANAYE
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Mzazi aeleza ukatili aliofanyiwa mwanaye
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20pxF9*ej2hiejHdFwOylB457L8FJ7e4pwDjI8BMHOvKkoHWQ4485VgeIY-71XgMG2KoI*FV6rWSfea3Qh4AXEo/MAMAWEMA.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL NA UKWELI MCHUNGU!
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Aunt Ezekiel: Filamu hazilipi
STAA wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amesema mafanikio ya wasanii wengi wa kike hayatokani na mauzo ya kazi hiyo bali sapoti ya waume au wapenzi wao kwa kuwa soko...
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Mimba yamchosha Aunt Ezekiel
NA GEORGE KAYALA
MKALI wa filamu ya Chozi la Mwanjaa, Aunt Ezekiel, amesema kwamba anatamani kujifungua, kwani amechoshwa na mimba yake, kwa sababu imemfanya ashindwe kupata kazi ya kucheza filamu nyingine.
Akizungumza na MTANZANIA jana, msanii huyo alisema kuwa mialiko ya kucheza filamu imekata na sasa haingizi kipato chochote, badala yake pesa inatoka, hali ambayo inamfanya atamani ajifungue ili aondokane na adha hiyo.
“Siyo siri nimechoshwa na hii mimba, natamani hata leo nijifungue,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpsrxiNjsAjSTztpWzV59Da2DQj28DwR3uaukljFNbz5nEVivhh1jFKbloUUX1JhLPOibevcxBm4myg86eru4KEXW/pub.jpg?width=650)
PUB YA AUNT EZEKIEL CHALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOIde3FMdLUQO*puXeAxc2ZPMYbDmqDD7KoJnVOvZ9qERTcPMrHW0DaHba*39u*Ho7Dt8RSY9ijeMxgBHVhASWpQ/AUNT.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AZICHAPA UKUMBINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bco3t9J7*tRTgBwuFfyuAuJnc6PwuTbY7fCtyoJ2sPPJdvIouhEa9aBRQKyBs6ObNGMiA1SL9pWUQrPAKH5veLvQ40RmSUPJ/BACK.jpg)
MIMBA YAMTIBUA AUNT EZEKIEL