SNURA ADAIWA KUMFICHA MWANAYE
![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ajnzhkLY9k6vghkYnBkuPejvKMybZGVj2acEImb9p8TTpvR9aNO*1IBeLWNpqEypcO4hf0sqQ2uhh9f4vf0Aja/e.jpg?width=650)
Stori: Mayasa mariwata na Hamida hassan/Risasi Mchanganyiko MSANII nyota wa miondoko ya Mduara, Snura Mushi aliyekuwa kimya kwa muda mrefu kufuatia kuwa na ujauzito, amerejea jijini Dar akitokea Mbeya alikojifungua mtoto wa kiume, lakini kukiwa na madai kwamba anamficha mwanaye asionekane kwa watu. Msanii nyota wa miondoko ya Mduara, Snura Mushi. “Namshangaa sana huyu mwenzetu sijui anachomfichia huyo mtoto ni kitu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49agDaElOtf2QQpueBVuEin**yzIuqF20TWmMmiB6bwzhuL6tuBLMUVAD9GqOTMhrO17eGEZLHGmLa4qIx4H4wE5/Aunt.gif?width=650)
AUNT EZEKIEL AELEZA SABABU YA KUMFICHA MWANAYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Baba adaiwa kumnyonga mwanaye
MTOTO Henry Juma, mwenye umri wa miezi saba, mkazi wa Migombani mjini Tunduma, wilayani Momba, mkoani hapa, amekutwa ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, Juma Venance, kisha mwili...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Snura Adaiwa Kupora Mume wa Davina
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake ambae ni staa wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL , kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo.
“Yaani mastaa wa Bongo bwana, wanapenda sana kuchukuliana mabwana. Huyu Snura...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IGfeaQzOI3k/UyctQNp1CrI/AAAAAAAFUNw/W203hI1QEMU/s72-c/unnamed+(75).jpg)
Baba adaiwa kumuua mwanaye wa miaka 8 mkoani Njombe
![](http://2.bp.blogspot.com/-IGfeaQzOI3k/UyctQNp1CrI/AAAAAAAFUNw/W203hI1QEMU/s1600/unnamed+(75).jpg)
Njombe SACP Fulgence Ngonyani Na Edwin Moshi, Njombe Jeshi la polisi mkoani Njombe linamshikilia Bw. Yusufu Sadick Mkalile (33) kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaaa mwenyewe kwa kumziba pua na mdomo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani imesema kuwa mtuhumiwa alitenda mauaji hayo Machi 16 mwaka huu majira ya saa 03:20 asubuhi, ambapo alimziba pua na mdomo mwanaye huyo aitwaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZdLRTWtLaW0B7UTQHnLWUmgh5aZCLUJq0o4DJz1crpeu9tq5jYb7oE3-1dasZSRTOpIXr1kQURb49Hw1EbBXb-/mtotoviwembe.jpg)
MAMA ADAIWA KUMCHANA MWANAYE VIWEMBE SEHEMU ZA SIRI!
10 years ago
Mwananchi21 May
Mama mzazi adaiwa kumuuza mwanaye kwa Sh70,000
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya
Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.
Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.
Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi...