Mzazi aeleza ukatili aliofanyiwa mwanaye
Jamal Salum (12), mtoto ambaye aliuawa na Mohamed Said (36) ambaye ni Mwalimu wa Shule ya Awali na Madrasa ya Al Nur Al eneo la Mbagala Charambe Foma, inadaiwa alitobolewa macho kabla ya kuchinjwa na mtuhumiwa huyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
Baba mzazi na mkazi wa Kijiji cha Sima wilayani hapa mkoani Mwanza anadaiwa kumuua kikatili mwanaye Maneno Faida (4) kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIkVe*kShxV2HmYZBYSNP1jMtxKAH8JV3BOeLG2Pr1HL**8ddkyBF4llfukzdrg8Og748f1dMNmwE5JHbF3B26Nh/moto.jpg)
MAMA MZAZI AMLIPUA MOTO MWANAYE
Stori: Makongoro Oging’
Dunia haina huruma! Mtoto Samwel Paulo (13), anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Amani wilayani Ilala, Dar, amelazwa wodi ya watoto katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, akiendelea kuuguza majeraha yaliyotokana na kile kinachodaiwa ni kulipuliwa kwa moto na mama yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Doricus Iganga. Mtoto Samwel Paulo akiwa hospital baada ya kufanyiwa kitendo cha kinyama na mama...
10 years ago
Mwananchi21 May
Mama mzazi adaiwa kumuuza mwanaye kwa Sh70,000
Monduli. Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nanja, Kata ya Lepruko, wilayani Monduli, anadaiwa kumuuza mtoto wake wa kumzaa kwa mtu mwingine kwa Sh70,000 kwa madai kuwa ana maisha magumu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49agDaElOtf2QQpueBVuEin**yzIuqF20TWmMmiB6bwzhuL6tuBLMUVAD9GqOTMhrO17eGEZLHGmLa4qIx4H4wE5/Aunt.gif?width=650)
AUNT EZEKIEL AELEZA SABABU YA KUMFICHA MWANAYE
Chande Abdallah
Msanii wa filamu ambaye amejipatia hadhi ya kuitwa mama baada ya kujifungua mtoto wa kike aliyempa jina la Cookie la Princessa, Aunt Ezekiel, amefunguka sababu ya kumficha sura mwanaye ambaye tangu amezaliwa sura yake hajaiweka wazi. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1GnDv9E
11 years ago
Mwananchi07 Aug
UKATILI: Inspekta wa Polisi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwanaye
>Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).
10 years ago
Tanzania Daima16 Nov
Tusiuvumilie uhuni aliofanyiwa Warioba
SERIKALI imeelezea “ kusikitishwa” kwake na vurugu alizofanyiwa Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba hivi karibuni katika Hoteli ya Blue Pearl,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVd1-hvLcAdDj5ZREmv1sT0LiceItyxvwmwD93Zmf8Wk4vQGGCtPQyyp2lIqfIjWB5SG2XtrlUjSYj77wZi*wifu/baba.jpg?width=650)
BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE
Stori: Mwandishi Wetu, KAHAMA
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Majengo, Kahama mkoani Shinyanga, Said Siraji (13) anaendelea vizuri katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama alikolazwa baada ya kunusurika kifo kwa kuchinjwa shingoni na baba yake mzazi kwa madai ya kushindwa kumtibu mtoto huyo kwa matatizo yake ya afya. Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Dokta Joseph Fwoma alisema Said anaendelea vizuri baada ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8YVGahOV*lByDD6tx4cYOriEst7IDSwLqRTDym1n*zFNM6wQuFi1AzkiDWYBOcl*dXm4ChR3T7ypnRUhKfOlrXb/nisha.jpg)
NISHA AMWANIKA MWANAYE
Stori: Gladness Mallya MASTAA wana mambo! Baada ya kukataa kwa muda mrefu kwamba hajawahi kuzaa, msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amemwanika mwanaye anayejulikana kwa jina la Iptysam Othman ‘Angel’ mwenye umri wa miaka 10. Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha akiwa na mwanae. “Mimi ni mama bora, ndiyo maana nimekuwa nikiulizwa na vyombo mbalimbali vya habari kama nina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FkLMylrJqnXLtJTOmalPLI1tDSkPwg7WqHmcV7cjCxeQfaMJkGjVH2uWul1n1VYRhPKJQhjT5F2hIjYplOZgEYND38HfidlG/IMG20150120WA0000.jpg)
SHIJA AMWANIKA MWANAYE
Msanii wa filamu Bongo, Deogratius Shija akiwa na mwanaye, Theresia Shija (14). Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
KWA mara ya kwanza msanii wa filamu Bongo, Deogratius Shija amemwanika mwanaye na kudai ndiye faraja kwake kila anapomuona. Shija alisema mwanaye aliyemtaja kwa jina la Theresia Shija (14), amekuwa ni faraja kubwa katika maisha yake na kila anapomwangalia anapata nguvu ya kufanya kazi. “Ukweli nimekuza,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania