G Nako aeleza sababu za ‘Weusi’ kutokufa
NA SHARIFA MMASI
RAPA mahiri kutoka kundi la Weusi lenye maskani yake mkoani Arusha, George Mdemu ‘G Nako’, amesema
upendo, umoja, kutodharau na kufanyia kazi ushauri wa mashabiki wao ndiyo misingi inayoliwezesha kundi hilo lisivunjike kama makundi mengine yaliyowahi kuwika kwa muda mfupi kabla ya kusambaratika.
“Sababu hizo tuliziweka kwa pamoja wakati tulipoanzisha kundi letu hilo ambalo kwa sasa ni kampuni.
“Makundi mengi yanasahau kwamba nidhamu ni kitu muhimu katika kila kazi, wengi wao...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Nyimbo 3 mpya za Weusi hazitatoka tena wiki hii, Nikki Wa Pili aeleza sababu
9 years ago
Bongo506 Jan
G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana
![Gnako](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/08/Gnako-150x200.jpg)
Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.
Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.
Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...
10 years ago
Bongo519 Feb
G-Nako: Upendo ndio siri ya kubwa ya Weusi kuendelea kuwa pamoja
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
9 years ago
Bongo501 Dec
Weusi waeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa kazi ya kundi
![Weusi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Weusi-300x194.jpg)
Kundi la Weusi linaloundwa na Nikki Wa Pili, G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez na Bonta limeeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa wimbo wowote wa kundi, mbali na single za mmoja mmoja ambazo hata hivyo kila mmoja zimemsaidia kumuweka pazuri zaidi.
Baadhi ya nyimbo walizotoa Weusi kama msanii mmoja mmoja mwaka huu ni kama Joh Makini ametoa Nusu Nusu na Don’t Bother, Nikki Wa Pili ametoa Safari na Baba Swalehe, G- Nako ametoa Laini na anatarajia kuachia wimbo mpya Original, Bonta pia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lnNHCVxKyALzJWo1**aeQ1EPFSe1shUETOa6PLsspfd4viZYRP*oCYkLbq5WH9tP5jsgfm751-nTwd-PdfK4nESwV5I41yFL/batu.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA KUTOOLEWA
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Dk Nchimbi aeleza sababu za kuwajibika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXGXWUaWnMd*cPXRaxFDDS7NQeeW3eLRU-54ht-fbct3fg6acQtBbcSe5KURiE9S8exNYeJbbn8QrTS8ipIAkLnr/batuli.jpg)
BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaH87hV*y5BfGCDehNQ9MCDD1Q7BdL2aEjCJjb0UArLwTY*3JCEPmvAk2Q-6UDmrRi23fATcYTc0hvHWhRyUsd8I/bozi.jpg)
BOZI AELEZA SABABU ZA KUTODUMU PENZINI