Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


G Nako aeleza sababu za ‘Weusi’ kutokufa

3865247de9LNA SHARIFA MMASI

RAPA mahiri kutoka kundi la Weusi lenye maskani yake mkoani Arusha, George Mdemu ‘G Nako’, amesema
upendo, umoja, kutodharau na kufanyia kazi ushauri wa mashabiki wao ndiyo misingi inayoliwezesha kundi hilo lisivunjike kama makundi mengine yaliyowahi kuwika kwa muda mfupi kabla ya kusambaratika.

“Sababu hizo tuliziweka kwa pamoja wakati tulipoanzisha kundi letu hilo ambalo kwa sasa ni kampuni.
“Makundi mengi yanasahau kwamba nidhamu ni kitu muhimu katika kila kazi, wengi wao...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 3 mpya za Weusi hazitatoka tena wiki hii, Nikki Wa Pili aeleza sababu

Mashabiki wa Weusi waliokuwa wakisubiri kwa hamu kupokea kazi mpya kutoka kwa wasanii wa kundi hilo,wanalazimika kuvuta subira kwasababu nyimbo mpya pamoja na video za Joh makini, Nikki Wa Pili na G-Nako zilizokuwa zitoke wiki hii hazitatoka tena wiki hii. Nikki wa Pili ameiambia Bongo5 kuwa yeye na wenzake wametafakari hali ilivyo hivi sasa na […]

 

9 years ago

Bongo5

G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana

Gnako

Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.

Joh na G-Nako

Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.

Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...

 

10 years ago

Bongo5

G-Nako: Upendo ndio siri ya kubwa ya Weusi kuendelea kuwa pamoja

G-Nako amedai kuwa siri kubwa ya kwanini kundi la Weusi limeendelea kuwa pamoja na kufanya muziki mzuri ni upendo kati yao. Weusi ndio kundi la hip hop imara zaidi kwa sasa nchini na linaundwa na wasanii watano japo wanaosikika zaidi ni G-Nako, Joh Makini na Nick wa Pili. Wengine ni pamoja na Lord Eyez na […]

 

9 years ago

Bongo5

Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako

Joh makini na G-Nako ambao wako nchini Afrika Kusini, wamekamilisha kazi iliyowapeleka huko ambayo ni kushoot video mbili. Video ya kwanza ni ya collabo ya Joh Makini na rapper wa Afrika Kusini, AKA ambayo (audio) ilirekodiwa May mwaka huu, rapper huyo alipokuja Tanzania kwenye Zari All White Party. Wimbo huo unaitwa ‘Don’t’ Bother’. Video ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Weusi waeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa kazi ya kundi

Weusi

Kundi la Weusi linaloundwa na Nikki Wa Pili, G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez na Bonta limeeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa wimbo wowote wa kundi, mbali na single za mmoja mmoja ambazo hata hivyo kila mmoja zimemsaidia kumuweka pazuri zaidi.

Weusi

Baadhi ya nyimbo walizotoa Weusi kama msanii mmoja mmoja mwaka huu ni kama Joh Makini ametoa Nusu Nusu na Don’t Bother, Nikki Wa Pili ametoa Safari na Baba Swalehe, G- Nako ametoa Laini na anatarajia kuachia wimbo mpya Original, Bonta pia...

 

10 years ago

GPL

BATULI AELEZA SABABU ZA KUTOOLEWA

Brighton Masalu STAA wa filamu Bongo, Yobnes Yusuph ‘Batuli’, ameeleza sababu zinazochangia yeye kutoolewa kuwa ni umaarufu wake.Akizungumza na mwandishi wetu pande za Mlimani City jijini, alisema kuwa wanaume wamekuwa wakiwahofia kwa sababu wao ni mastaa kama wengi wanavyoamini ukimuoa staa umeumia.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DGFqLZ ...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Nchimbi aeleza sababu za kuwajibika

>Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emmanuel Nchimbi amesema yeye pamoja na mawaziri wenzake watatu walikubali kuwajibika kutokana na makosa yaliyofanywa na askari waliokuwa wakitekeleza Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

10 years ago

GPL

BATULI AELEZA SABABU ZA UKIMYA WAKE

Na Hamida Hassan BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, diva wa filamu Bongo, Yobnesh  Yusuph  ‘Batuli’ amefunguka kuwa kimya chake hicho kina mshindo kwani kuna kitu kilimuweka bize hivyo watu wakae mkao wa kula atawasapraizi. Diva wa filamu Bongo, Yobnesh  Yusuph  ‘Batuli’. Batuli alisema hayo baada ya mashabiki kuuliza amepotelea wapi ambapo alisema kuwa aliamua kukaa kimya kidogo ili...

 

10 years ago

GPL

BOZI AELEZA SABABU ZA KUTODUMU PENZINI

Stori: Mayasa Mariwata
MUUZA sura kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye alikiri kubanjuka na mastaa wasiopungua 15, amesema sababu zinazomsababisha asidumu na mwanaume mmoja kwenye mapenzi ni kutokana na mateso aliyoyapata kwenye ndoa ya utotoni. Muuza sura kwenye sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’. Akibonga mawili matatu na paparazi wetu,  Bozi alisema tatizo la kutokuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani