Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


G-Nako: Upendo ndio siri ya kubwa ya Weusi kuendelea kuwa pamoja

G-Nako amedai kuwa siri kubwa ya kwanini kundi la Weusi limeendelea kuwa pamoja na kufanya muziki mzuri ni upendo kati yao. Weusi ndio kundi la hip hop imara zaidi kwa sasa nchini na linaundwa na wasanii watano japo wanaosikika zaidi ni G-Nako, Joh Makini na Nick wa Pili. Wengine ni pamoja na Lord Eyez na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

G Nako aeleza sababu za ‘Weusi’ kutokufa

3865247de9LNA SHARIFA MMASI

RAPA mahiri kutoka kundi la Weusi lenye maskani yake mkoani Arusha, George Mdemu ‘G Nako’, amesema
upendo, umoja, kutodharau na kufanyia kazi ushauri wa mashabiki wao ndiyo misingi inayoliwezesha kundi hilo lisivunjike kama makundi mengine yaliyowahi kuwika kwa muda mfupi kabla ya kusambaratika.

“Sababu hizo tuliziweka kwa pamoja wakati tulipoanzisha kundi letu hilo ambalo kwa sasa ni kampuni.
“Makundi mengi yanasahau kwamba nidhamu ni kitu muhimu katika kila kazi, wengi wao...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA UJASILIAMALI

SEMINA ya Kamata Fursa Jitathimini,Jiamini,Jiongeze inayoendeshwa sambamba na burudani za Fiesta 2014, jana imeendelea kwa kuwapatia dira ya maisha na namna ya kuwafanya wajikwamue kwenye shughuli mbalimbali za kiuchumi wakazi wa Mkoa wa Tabora mjini ndani ya ukumbi wa chuo cha TEKU,kilichopo katikati ya mji wa Tabora.Semina hiyo ambayo imeongozwa na Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba (pichani juu) ilikuwa ya aina yake, kwani baadhi ya vitu na...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA TABORA WAKIRI WAZI KUWA MASOKO NDIO CHANGAMOTO YAO KUBWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA UJASILIAMALI‏

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba (pichani juu) ilikuwa ni aina yake, kwani baadhi ya mbinu alizowapatia wakazi wa Mkoa wa Tabora,wengi wao wameonesha kuvutiwa nayo kutokana na mafunzo,maelekezo na mbinu mbalimbali za kupambana na changamoto zinazowakabili/zitakazowakabili katika miradi yao mbalimbali wanayotarajia kuianzisha ama wamekwishaianzisha.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako

Joh makini na G-Nako ambao wako nchini Afrika Kusini, wamekamilisha kazi iliyowapeleka huko ambayo ni kushoot video mbili. Video ya kwanza ni ya collabo ya Joh Makini na rapper wa Afrika Kusini, AKA ambayo (audio) ilirekodiwa May mwaka huu, rapper huyo alipokuja Tanzania kwenye Zari All White Party. Wimbo huo unaitwa ‘Don’t’ Bother’. Video ya […]

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI GLOBAL WAONYESHA UPENDO, WALA PAMOJA CHAKULA CHA MCHANA

Baadhi ya ‘askari’ wa kikosi cha Global Publishers wakielekea kupata msosi wa nguvu mchana huu. Taswira ya msosi wa nguvu uliokuwa mezani.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafanyakazi wa UNFPA, TUSHIKAME Pamoja Foundation na Projeckt Inspire waonyesha upendo kwa wazee Msimbazi Centre

IMG_2450

Daktari kijana Brian Mushi wa Projeckt Inspire akionyesha upendo kwa mmoja wa wazee wanaoishi kwenye kituo hicho kilichopo Msimbazi Centre mara baada ya kumpima Presha wakati wa maadhimisho ya siku ya wazee duniani.

Na Mwandisi wetu

WAZEE wanaoshi katika makazi ya Msimbazi Centre Jijini Dar es salaam karibu na kanisa la Mtakatifu Maria wa Fatma, Msimbazi walipata faraja kubwa baada ya kutembelewa na makundi matatu ya jamii.

Makundi hayo ni pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa...

 

9 years ago

Bongo5

Ibra Da Hustler adai ili Nako 2 Nako irudi inahitaji management

Ibra Da Hustler

Rapper wa kundi la Nako 2 Nako, Ibra Da Hustler, amesema kuwa kundi hilo linaweza kurudi tena ila linahitaji management ya kulisimamia kutokana na muziki kubadilika.

Ibra Da Hustler

Da Hustler alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wa kundi hilo hawakuwa na tofauti kubwa kama watu wanavyodhani.

“Ibra Da Hustler na Nako 2 Nako tupo fresh, sema tulikuwa na ups and downs ambazo ni za kawaida, lakini kiukweli tupo fresh tu,” alisema.

“Hatushindwi kurudi, sema game sasa hivi ni gumu so...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …

Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]

The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya siri, wazi kutumika pamoja

HATIMAYE Bunge Maalumu la Katiba limemaliza mvutano wa Kanuni, hasa kuhusu kura ya wazi au ya siri katika kufanya uamuzi wa kupitisha ibara na sura za rasimu ya Katiba, kwa kuamua kura zote zitumike kwa kadri mjumbe mmoja mmoja atakavyoona inafaa. Uamuzi huo uliamuliwa kwa kupiga kura ya wazi na siri na matokeo yalikuwa:

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani