Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAWIFI WAMKERA CATHY

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa anakerwa na tabia za mawifi kuwachukia wake za kaka zao bila sababu za msingi. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ Akichonga na paparazi wetu, Cathy alisema mawifi wengi huwachukia na kuwawekea vinyongo wake wa kaka zao hata kama hawajawakosea, kitu ambacho kinamkera na anaamini siyo yeye peke...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY

Stori: Gladness Mallya NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu...

 

10 years ago

Mwananchi

Mawifi pande zote mpendane

Makalio ya sufuria hayaogopi moto; mchana inzi na usiku mbu; mawifi liwe liwalo tutaolewa tu na kaka zenu. Mpo hapo? Basi kero za nini na mlikuwa wapi wakati kaka zenu walipotutafuta, kutupenda hatimaye kutuoa? Mwakwetu, hilo ni tamko la Jamila kwao ‘mawifi’ wakorofi.

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU AWAJIA JUU MAWIFI ZAKE

Na Hamida Hassan
MWANADADA Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amewajia juu mawifi zake ambao wamekuwa wakimtaka aachane na mpenzi wake wa sasa Mwanadada Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. aitwaye Amani kwa maelezo kuwa hawamtaki na yeye amekuwa aking’ang’ania penzi.
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunty Lulu alisema anawashangaa mawifi zake hao wanaoshadadia amuache mpenzi wake wakati hawajui...

 

11 years ago

GPL

WEMA AFUTURISHA NYUMBANI KWAKE, AITA WAKWE, MAWIFI ZAKE

Wema akishukuru baada ya dua. Diamond akiwa katika dua. Baadhi ya futari.…

 

10 years ago

Habarileo

Maaskofu wamkera Sitta

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudharau baadhi ya maaskofu, kama wataendelea kutoa maagizo ya kisiasa. Akizungumza bungeni kuhusu jitihada zilizofanyika ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ili Katiba Inayopendekezwa isipatikane, Sitta alisema ni pamoja na baadhi ya maaskofu kuandaa waraka wa kupinga bunge hilo na kulazimisha usomwe makanisani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Boko Haram wamkera Mwinyi

RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amesema anasikitishwa na kitendo cha kundi la Boko Haram la nchini Nigeria kuendelea kuua watu wasio na hatia na kusingizia kuwa...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mlundikano wa kesi wamkera waziri


NA RACHEL KYALA
VITUO vinavyotoa msaada wa kisheria nchini vimetakiwa kupanua wigo wa huduma, ili kuzinusuru mahakama na tatizo la mlundikano wa kesi.

Huduma hizo ni pamoja na kutoa usuluhishi ili mashauri yaishie nje ya mahakama.
Alisema hivi sasa mahakama zimekuwa na mlundikano mkubwa wa kesi, ambazo nyingine zingewezwa na wataalam wa sheria katika vituo hivyo.
Mbali na usuluhishi, vilevile vimetakiwa kuwa na maofisa ustawi wa jamii watakaokuwa wanatoaushauri nasaha licha ya msaada wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamkera Ommy Dimpoz

ommyNA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anachukizwa na tabia ya mashabiki ambao wamekuwa wakifanya fujo kwenye shoo mbalimbali za wasanii.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Ommy Dimpoz alisema kitendo hicho siyo cha kiungwana, mashabiki wamekuwa wakikosea na kuwavunjia heshima wasanii.
“Mashabiki wanatuogopesha, imekuwa kama jambo la kawaida kutufanyia vurugu na kusahau kuwa tunafanya shoo ili kuwapa burudani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mashabiki na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani