Maaskofu wamkera Sitta
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudharau baadhi ya maaskofu, kama wataendelea kutoa maagizo ya kisiasa. Akizungumza bungeni kuhusu jitihada zilizofanyika ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ili Katiba Inayopendekezwa isipatikane, Sitta alisema ni pamoja na baadhi ya maaskofu kuandaa waraka wa kupinga bunge hilo na kulazimisha usomwe makanisani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Sitta: Maaskofu ni Ukawa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta-October2-2014.jpg)
Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...
10 years ago
Mtanzania02 Oct
…Ukimya matokeo ya kura, Sitta alia na maaskofu
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya kura za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kumezua maswali mengi.
Msingi wa maswali hayo unatokana na uchache wa wajumbe wa Bunge hilo, kulinganisha na kura za madiwani ama wabunge ambazo zikipigwa matokeo yake huanza kutoka siku hiyohiyo.
Bunge Maalumu la Katiba lina wajumbe 629, kati yao 419 ni kutoka Tanzania Bara na 210 upande wa Zanzibar.
Katika kura zilizopigwa juzi, sehemu kubwa ya wajumbe walipiga kura za wazi huku...
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.
Katika wajumbe hao wamo maaskofu wawili na masheikh wawili ambao Sitta amewateua kutoka katika Bunge la Katiba.
Sitta ameitisha kikao hicho jijini Dar es Salaam Julai 24 wakati kukiwa na matamko tofauti kuhusu mustakabali wa katiba...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwvvykJy9AlN4obeVVUjieDNv-epzOMe9*vBdA-9KswMRBXaFc-CoYpEfP0wpA7ler8lCKacMpKg5C*ulrir6f7/cathy.jpg)
MAWIFI WAMKERA CATHY
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-uFTMOXviCC8/U8flEDt9XpI/AAAAAAAABYM/y0thDH2gSx0/s72-c/Unknown.jpeg)
Mlundikano wa kesi wamkera waziri
NA RACHEL KYALA
VITUO vinavyotoa msaada wa kisheria nchini vimetakiwa kupanua wigo wa huduma, ili kuzinusuru mahakama na tatizo la mlundikano wa kesi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uFTMOXviCC8/U8flEDt9XpI/AAAAAAAABYM/y0thDH2gSx0/s1600/Unknown.jpeg)
Huduma hizo ni pamoja na kutoa usuluhishi ili mashauri yaishie nje ya mahakama.
Alisema hivi sasa mahakama zimekuwa na mlundikano mkubwa wa kesi, ambazo nyingine zingewezwa na wataalam wa sheria katika vituo hivyo.
Mbali na usuluhishi, vilevile vimetakiwa kuwa na maofisa ustawi wa jamii watakaokuwa wanatoaushauri nasaha licha ya msaada wa...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Boko Haram wamkera Mwinyi
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, amesema anasikitishwa na kitendo cha kundi la Boko Haram la nchini Nigeria kuendelea kuua watu wasio na hatia na kusingizia kuwa...
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Mashabiki wamkera Ommy Dimpoz
NA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anachukizwa na tabia ya mashabiki ambao wamekuwa wakifanya fujo kwenye shoo mbalimbali za wasanii.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Ommy Dimpoz alisema kitendo hicho siyo cha kiungwana, mashabiki wamekuwa wakikosea na kuwavunjia heshima wasanii.
“Mashabiki wanatuogopesha, imekuwa kama jambo la kawaida kutufanyia vurugu na kusahau kuwa tunafanya shoo ili kuwapa burudani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mashabiki na...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Uhaba wa mabao wamkera Maximo