…Ukimya matokeo ya kura, Sitta alia na maaskofu
NA MAREGESI PAUL, DODOMA
KUCHELEWESHWA kutangazwa kwa matokeo ya kura za Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, kumezua maswali mengi.
Msingi wa maswali hayo unatokana na uchache wa wajumbe wa Bunge hilo, kulinganisha na kura za madiwani ama wabunge ambazo zikipigwa matokeo yake huanza kutoka siku hiyohiyo.
Bunge Maalumu la Katiba lina wajumbe 629, kati yao 419 ni kutoka Tanzania Bara na 210 upande wa Zanzibar.
Katika kura zilizopigwa juzi, sehemu kubwa ya wajumbe walipiga kura za wazi huku...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Oct
Maaskofu wamkera Sitta
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amesema ataendelea kudharau baadhi ya maaskofu, kama wataendelea kutoa maagizo ya kisiasa. Akizungumza bungeni kuhusu jitihada zilizofanyika ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba, ili Katiba Inayopendekezwa isipatikane, Sitta alisema ni pamoja na baadhi ya maaskofu kuandaa waraka wa kupinga bunge hilo na kulazimisha usomwe makanisani.
10 years ago
Vijimambo02 Oct
Sitta: Maaskofu ni Ukawa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta-October2-2014.jpg)
Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...
11 years ago
CloudsFM09 Jul
Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.
Katika wajumbe hao wamo maaskofu wawili na masheikh wawili ambao Sitta amewateua kutoka katika Bunge la Katiba.
Sitta ameitisha kikao hicho jijini Dar es Salaam Julai 24 wakati kukiwa na matamko tofauti kuhusu mustakabali wa katiba...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mjumbe wa Bunge la #Katiba alia na Sitta, adai ‘kawabania’ nyaraka muhimu [VIDEO]
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
MCHAKATO KTMA 2014: Wadau wauvunjia ukimya mfumo mpya wa upigaji kura
MCHAKATO wa kupata wateule na washiriki wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) ungali umeshika kasi, huku wadau wa sanaa nchini wakiwa katika harakati chanya za kufanikisha wasanii, watayarishaji, bendi...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
9 years ago
Bongo504 Dec
Rapa Baby Boy kuvunja ukimya wa miaka miwili, aeleza kilichosababisha ukimya huo
![baby boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/baby-boy-300x194.jpg)
Rapa wa kitambo aliyewahi kutoa nyimbo kama ‘Tunapendana’ aliyofanya na Steve RnB, Baby Boy amepanga kuvunja ukimya wa miaka miwili aliokaa bila kuachia kazi yoyote.
Baby Boy ambaye kipindi cha nyuma alikuwa akisimamiwa na Zizzou Entertainment ameiambia Bongo5 sababu za kuwa kimya.
“Nimekuwa kimya japo sikuwahi kuacha kurecord nakuandika ngoma mpya ila nlikuwa nasita kuzitoa kutokana na kutokuwa na management, lakini imefika time nimeamua kuachia ngoma japo bado siko katika management kama...
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Samuel Sitta: Kura ya siri