Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MCHAKATO KTMA 2014: Wadau wauvunjia ukimya mfumo mpya wa upigaji kura

MCHAKATO wa kupata wateule na washiriki wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) ungali umeshika kasi, huku wadau wa sanaa nchini wakiwa katika harakati chanya za kufanikisha wasanii, watayarishaji, bendi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Msama yaanika taratibu upigaji kura Tamasha la Pasaka 2014

KAMPUNI ya Msama Promotions imetangaza utaratibu utakaotumika kupiga kura kuchagua taratibu za ufanyikaji wa Tamasha la Pasaka la mwaka huu linalotarajiwa kuanza Aprili 20, mwaka huu. Kwa mujibu wa Makamu...

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Miezi mitano ya sintofahamu kuhusu BVR, Kura ya Maoni

>Ilichukua miezi mitano kumaliza mvutano wa kimahesabu na maneno baina ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Serikali na wadau wa demokrasia kuhusu muda wa maandalizi na upigiaji Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapiga kura Kariakoo kuhusu upigaji kura

Wapiga kura Tanzania walifika vituoni mapema kupiga kura kuwachagua viongozi wapya. Wanamchagua rais mpya, wabunge na madiwani. Mwandishi wa BBC Bashkas Jugsodaay alizungumza na baadhi yao

 

11 years ago

Dewji Blog

NEC yaanza uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo mpya wa (BVR)

jaji..3

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.(PICHA ZOTE NA HILLARAY SHOO Mo Blog, SINGIDA).

MWENYKIT

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.

Lengo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau: Waandaaji KTMA hawakujipanga

BAADHI ya wadau wa muziki wa kizazi kipya nchini ambao walishuhudia utoaji wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Award (KTMA 2014), zilizofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, wamedai...

 

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO KATIBA MPYA: Kwa nini muda wa BVR hautoshi kwa Kura ya Maoni

>Kazi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kwa kutumia Mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR) imezunduliwa Februari 24 mwaka huu na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye pamoja na mambo mengine, ameweka wazi kuwa mtu atakayeshindwa kujiandikisha, atakosa fursa ya piga kura ya maoni kwa ajili ya Katiba mpya.

 

11 years ago

Michuzi

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MFUMO MPYA WA (BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jana, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Liana Hassan na kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Singida Joseph Mchina.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi imeanza mchakato wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura,kwa kuwashirikisha kwa karibu waandishi wa habari hapa nchini.
Lengo la kuwashirikisha waandishi wa habari ni kutokana na...

 

11 years ago

Dewji Blog

UN kuzindua mfumo mpya wa kuhabarisha umma ndani ya tamasha la ZIFF 2014 jioni hii

un1

Ofisa habari wa Kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vusso (kushoto) akionesha taarifa ya Umoja wa Mataifa ya utekelezaji wa mpango wa pamoja wa mashirika ya Umoja wa mataifa hapa nchini. Taarifa hiyo imo katika documentary (taarifa ambayo iko katika mfumo wa video) ya dakika saba  inayoonyesha kazi mbalimbali Umoja wa Mataifa nchi  itazinduliwa leo kwenye ukumbi wa Ngome Kongwe kuanzia saa moja jioni katika mpango wa Umoja wa Mataifa wa kutumia mitandao ya kijamii...

 

11 years ago

GPL

UN KUZINDUA MFUMO MPYA WA KUHABARISHA UMMA NDANI YA TAMASHA LA ZIFF 2014 JIONI HII‏

Ofisa habari wa Kitengo cha habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vusso (kushoto) akionesha taarifa ya Umoja wa Mataifa ya utekelezaji wa mpango wa pamoja wa mashirika ya Umoja wa mataifa hapa nchini. Taarifa hiyo imo katika documentary (taarifa ambayo iko katika mfumo wa video) ya dakika saba inayoonyesha kazi mbalimbali Umoja wa Mataifa nchi itazinduliwa leo kwenye ukumbi wa Ngome Kongwe kuanzia saa moja jioni katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani