Msama yaanika taratibu upigaji kura Tamasha la Pasaka 2014
KAMPUNI ya Msama Promotions imetangaza utaratibu utakaotumika kupiga kura kuchagua taratibu za ufanyikaji wa Tamasha la Pasaka la mwaka huu linalotarajiwa kuanza Aprili 20, mwaka huu. Kwa mujibu wa Makamu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMsama Promotions yatangaza Viingilio Tamasha la Pasaka
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, mwishoni mwa wiki iliyopita ilitangaza viingilio vya tamasha hilo litakalofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, viti vya kawaida ni shilingi 5000 na watoto 2000.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama viti maalum ni shilingi 20,000 wakati VIP ni shilingi 10,000.Msama alisema hivi sasa wanaendelea na mchakato wa kufanikisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s72-c/IMG_5530.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YATANGAZA VITUO VYA KUUZIA TIKETI ZA TAMASHA LA PASAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s1600/IMG_5530.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama tiketi hizo zitauzwa katika vituo vitano kwa lengo la kupunguza usumbufu kwa mashabiki wenye nia ya kushiriki tamasha hilo.
Msama alitaja vituo vitakavyouzwa tiketi hizo ni pamoja na Puma Mwenge na Uwanja wa Ndege, Best Bite Namanga, BM Kinondoni na ofisi za Msama Promotions...
11 years ago
Michuzi05 Mar
Kwetu Pazuri lapigiwa kura Tamasha la Pasaka
WAKATI zoezi la upigaji kura kwa waimbaji, mgeni rasmi na mikoa likiendelea, kundi la Ambassadors of Christ, ‘Kwetu Pazuri,’ limepigiwa kura na Watanzania kwa ajili ya kushiriki kwenye Tamasha la Pasaka linalotarajia kuanza Aprili 20.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Abihudi Mang’era, kundi hilo limeanza kupigiwa kura siku chache zilizopita wakati baadhi ya waimbaji wa Tanzania wakiongoza katika zoezi hilo. Akizungumza na Pata Habari,...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
MCHAKATO KTMA 2014: Wadau wauvunjia ukimya mfumo mpya wa upigaji kura
MCHAKATO wa kupata wateule na washiriki wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro (KTMA) ungali umeshika kasi, huku wadau wa sanaa nchini wakiwa katika harakati chanya za kufanikisha wasanii, watayarishaji, bendi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania