Msama Promotions yatangaza Viingilio Tamasha la Pasaka
Sehemu ya Umati wa watu uliohudhuria tamasha la pasaka mwaka jana katika uwanja wa Taifa.
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, mwishoni mwa wiki iliyopita ilitangaza viingilio vya tamasha hilo litakalofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, viti vya kawaida ni shilingi 5000 na watoto 2000.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama viti maalum ni shilingi 20,000 wakati VIP ni shilingi 10,000.Msama alisema hivi sasa wanaendelea na mchakato wa kufanikisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s72-c/IMG_5530.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YATANGAZA VITUO VYA KUUZIA TIKETI ZA TAMASHA LA PASAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s1600/IMG_5530.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama tiketi hizo zitauzwa katika vituo vitano kwa lengo la kupunguza usumbufu kwa mashabiki wenye nia ya kushiriki tamasha hilo.
Msama alitaja vituo vitakavyouzwa tiketi hizo ni pamoja na Puma Mwenge na Uwanja wa Ndege, Best Bite Namanga, BM Kinondoni na ofisi za Msama Promotions...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Viingilio Tamasha la Pasaka Dar hadharani
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka imetangaza viingilio vya tamasha hilo jijini Dar es Salaam, ambako viti vya kawaida itakuwa ni sh 5,000 kwa wakubwa huku watoto ikiwa ni...
11 years ago
MichuziViingilio Tamasha la Pasaka hadharani,kufanyika uwanja wa Taifa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWW7cfJIc5o/VdFribiijgI/AAAAAAAC9r4/SEFy50NKLvo/s72-c/_MG_5088.jpg)
MSAMA PROMOTIONS KUANDAA TAMASHA LA KUIOMBEA TANZANIA INAYOELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWW7cfJIc5o/VdFribiijgI/AAAAAAAC9r4/SEFy50NKLvo/s640/_MG_5088.jpg)
KAMPUNI ya Msama Promotions imeandaa Tamasha kubwa la kihistoria ambalo halijawahi kufanyika nchini la kuiombea Tanzania inayoelekea katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s72-c/4.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA KWA VITUO SABA VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR KWA AJILI YA PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s1600/4.jpg)
Tamasha la Pasaka linatimiza miaka 15 toka lianzishwe hapa nchini,ambapo...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Msama yaanika taratibu upigaji kura Tamasha la Pasaka 2014
KAMPUNI ya Msama Promotions imetangaza utaratibu utakaotumika kupiga kura kuchagua taratibu za ufanyikaji wa Tamasha la Pasaka la mwaka huu linalotarajiwa kuanza Aprili 20, mwaka huu. Kwa mujibu wa Makamu...