MSAMA PROMOTIONS YATANGAZA VITUO VYA KUUZIA TIKETI ZA TAMASHA LA PASAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s72-c/IMG_5530.jpg)
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka imetangaza vituo vitakavyouzwa tiketi kwa ajili ya tamasha hilo kwa mkoa wa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama tiketi hizo zitauzwa katika vituo vitano kwa lengo la kupunguza usumbufu kwa mashabiki wenye nia ya kushiriki tamasha hilo.
Msama alitaja vituo vitakavyouzwa tiketi hizo ni pamoja na Puma Mwenge na Uwanja wa Ndege, Best Bite Namanga, BM Kinondoni na ofisi za Msama Promotions...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMsama Promotions yatangaza Viingilio Tamasha la Pasaka
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, mwishoni mwa wiki iliyopita ilitangaza viingilio vya tamasha hilo litakalofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, viti vya kawaida ni shilingi 5000 na watoto 2000.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama viti maalum ni shilingi 20,000 wakati VIP ni shilingi 10,000.Msama alisema hivi sasa wanaendelea na mchakato wa kufanikisha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s72-c/4.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA KWA VITUO SABA VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR KWA AJILI YA PASAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8_xjP8YyvQ/VR_T7dBvM9I/AAAAAAAC2xw/dsNcfk3fzy4/s1600/4.jpg)
Tamasha la Pasaka linatimiza miaka 15 toka lianzishwe hapa nchini,ambapo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s72-c/_MG_9111.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s640/_MG_9111.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W43xlgW6YAo/VlrItbmpxII/AAAAAAABk_0/VmcrSXaxgJA/s640/_MG_9071.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9ggApSwF-k/VlrJxxlAqgI/AAAAAAABlAk/2z1KwRtrle4/s640/_MG_9160.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SlJUvVZPH64/UvfY4fka4UI/AAAAAAACaV0/YKWohUoBxj8/s72-c/4.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAKABIDHI MISAADA KWA VITUO VITATU VYA JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SlJUvVZPH64/UvfY4fka4UI/AAAAAAACaV0/YKWohUoBxj8/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2xTE4UMtVtY/UvfY9dWB8tI/AAAAAAACaWE/TKFbsqLu4Ak/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fEz3c4Wug80/UvfY8kd6FvI/AAAAAAACaV8/8oEN-OoGMkc/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KdKQc-IbDOI/UvfZEILs97I/AAAAAAACaWM/V1aj2SC-eIo/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAGAWA ZAWADI ZA EIDD EL FITR KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akimkabidhi sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali kwa mtoto Sophia Said wa kituo cha Yatima cha Maunga cha Kinondoni jijini Dar es Salaam ikiwa ni masandalizi ya Sikukuu ya Idd El Fitr.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GuMFUomkurY/VOq4RN-S97I/AAAAAAAC0QM/mOWBoB-oON0/s72-c/1.jpg)
MSAMA PROMOTIONS LTD YAMWAGA MISAADA KWA VITUO VYA WATOTO YATIMA, YALAANI MAUAJI YA ALBINO YANAYOENDELEA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-GuMFUomkurY/VOq4RN-S97I/AAAAAAAC0QM/mOWBoB-oON0/s1600/1.jpg)
Msama amekabidhi misaada hiyo kwa vituo vitano...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/hFvvNEUpFUY/default.jpg)
KAMPUNI ya Msama Promotions YATOA MSAADA WA VITU MBALI MBALI KWA VITUO 10 VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
KAMPUNI ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, jana ilikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo 10 vya kulea yatima ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia makundi maalumu katika jamii.
Akikabidhi misaada hiyo katika ofisi zake zilizopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Msama alisema misaada hiyo ni sehemu ya fedha za mauzo ya DVD za Tamasha la Pasaka la mwaka huu.
Msama alisema kupitia mauzo ya DVD za Tamasha hilo ambalo lilifanyika April 6 katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWW7cfJIc5o/VdFribiijgI/AAAAAAAC9r4/SEFy50NKLvo/s72-c/_MG_5088.jpg)
MSAMA PROMOTIONS KUANDAA TAMASHA LA KUIOMBEA TANZANIA INAYOELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWW7cfJIc5o/VdFribiijgI/AAAAAAAC9r4/SEFy50NKLvo/s640/_MG_5088.jpg)
KAMPUNI ya Msama Promotions imeandaa Tamasha kubwa la kihistoria ambalo halijawahi kufanyika nchini la kuiombea Tanzania inayoelekea katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama...