MSAMA PROMOTIONS KUANDAA TAMASHA LA KUIOMBEA TANZANIA INAYOELEKEA KWENYE UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZWW7cfJIc5o/VdFribiijgI/AAAAAAAC9r4/SEFy50NKLvo/s72-c/_MG_5088.jpg)
Mkurugenzi wa Msama Promotions akizungumza na Waandishi wa habari kwenye ofisi za kampuni hiyo,jijini Dar kuhusiana na kuandaa tamasha la kuiombea Tanzania inayoelekea kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika,Oktoba 25 mwaka huu,Tamasha hilo linatarajia kufanyika Oktoba 4.
KAMPUNI ya Msama Promotions imeandaa Tamasha kubwa la kihistoria ambalo halijawahi kufanyika nchini la kuiombea Tanzania inayoelekea katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMSAMA PROMOSHENI KUANDAA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI HAPA NCHINI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
11 years ago
MichuziMsama Promotions yatangaza Viingilio Tamasha la Pasaka
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, mwishoni mwa wiki iliyopita ilitangaza viingilio vya tamasha hilo litakalofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, viti vya kawaida ni shilingi 5000 na watoto 2000.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama viti maalum ni shilingi 20,000 wakati VIP ni shilingi 10,000.Msama alisema hivi sasa wanaendelea na mchakato wa kufanikisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s72-c/IMG_5530.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YATANGAZA VITUO VYA KUUZIA TIKETI ZA TAMASHA LA PASAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s1600/IMG_5530.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama tiketi hizo zitauzwa katika vituo vitano kwa lengo la kupunguza usumbufu kwa mashabiki wenye nia ya kushiriki tamasha hilo.
Msama alitaja vituo vitakavyouzwa tiketi hizo ni pamoja na Puma Mwenge na Uwanja wa Ndege, Best Bite Namanga, BM Kinondoni na ofisi za Msama Promotions...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HJtYdng5u7Y/Vem3S2a0nCI/AAAAAAAH2ZM/WaAVhuIsrz4/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
DUA YA KUIOMBEA NCHI AMANI NA UTULIVU KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO YAFANYIKA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-HJtYdng5u7Y/Vem3S2a0nCI/AAAAAAAH2ZM/WaAVhuIsrz4/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1yq_w78Gww/Vem3SvLmVUI/AAAAAAAH2ZQ/T9mAWtwmVaI/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ssA57bshTrE/Vem3Svfk4AI/AAAAAAAH2ZI/VqACyhEsMoQ/s640/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboSARAH K KUPAMBA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI UCHAGUZI MKUU TANZANIA
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Msama Promotions kuwapiga msasa waimbaji
KAMPUNI ya Msama Promotions ambayo ndiyo mwandaaji wa Tamasha la Pasaka, hivi karibuni inatarajiwa kuandaa semina kwa ajili ya waimbaji walioteuliwa kuimba katika tamasha hilo. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Serikali iunge mkono harakati za Basata, Msama Promotions
“Heshima ya Tanzania katika nyanja ya sanaa na utamaduni itatokana na uwepo wa wasanii wanaojitambua tangu wakiwa wadogo, ndiyo maana sisi Msama Promotions tunasisitiza umuhimu wa kuwajenga wasanii tangu wakiwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s72-c/_MG_9111.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s640/_MG_9111.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W43xlgW6YAo/VlrItbmpxII/AAAAAAABk_0/VmcrSXaxgJA/s640/_MG_9071.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9ggApSwF-k/VlrJxxlAqgI/AAAAAAABlAk/2z1KwRtrle4/s640/_MG_9160.jpg)