Msama Promotions kuwapiga msasa waimbaji
KAMPUNI ya Msama Promotions ambayo ndiyo mwandaaji wa Tamasha la Pasaka, hivi karibuni inatarajiwa kuandaa semina kwa ajili ya waimbaji walioteuliwa kuimba katika tamasha hilo. Akizungumza jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Waimbaji Tamasha la Pasaka kupigwa msasa
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) na Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, kwa pamoja wanatarajia kutoa semina kwa waimbaji washiriki wa Tamasha la Pasaka linalotarajia kuanza Aprili 11...
10 years ago
Vijimambo16 May
MSAMA ATENGANISHA WAIMBAJI WA INJILI NA SIASA.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/2210.jpg)
Msama ameyasema hayo wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na urais unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Msama anasema karipio hilo linawahusu pia viongozi wa dini wakiwamo Wachungaji na Maaskofu ambao wanaonesha nia ya kutaka...
11 years ago
MichuziMsama Promotions yatangaza Viingilio Tamasha la Pasaka
KAMATI ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, mwishoni mwa wiki iliyopita ilitangaza viingilio vya tamasha hilo litakalofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, viti vya kawaida ni shilingi 5000 na watoto 2000.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Alex Msama viti maalum ni shilingi 20,000 wakati VIP ni shilingi 10,000.Msama alisema hivi sasa wanaendelea na mchakato wa kufanikisha...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Serikali iunge mkono harakati za Basata, Msama Promotions
“Heshima ya Tanzania katika nyanja ya sanaa na utamaduni itatokana na uwepo wa wasanii wanaojitambua tangu wakiwa wadogo, ndiyo maana sisi Msama Promotions tunasisitiza umuhimu wa kuwajenga wasanii tangu wakiwa...
10 years ago
Dewji Blog13 Mar
SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.
Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s72-c/_MG_9111.jpg)
KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAMWAGA MISAADA VITUO 10 VYA YATIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsylVOhBw-0/VlrJHAe7F6I/AAAAAAABlAE/2Uu5BngwCp0/s640/_MG_9111.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-W43xlgW6YAo/VlrItbmpxII/AAAAAAABk_0/VmcrSXaxgJA/s640/_MG_9071.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9ggApSwF-k/VlrJxxlAqgI/AAAAAAABlAk/2z1KwRtrle4/s640/_MG_9160.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UrhBlDTdDps/VVeiK5czS2I/AAAAAAAHXqo/XjIfaNT930I/s72-c/DSC_8730.jpg)
MSAMA AWATAKA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI KUFANYA KAZI YA MUNGU NA SI MAMBO YA SIASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrhBlDTdDps/VVeiK5czS2I/AAAAAAAHXqo/XjIfaNT930I/s400/DSC_8730.jpg)
Msama ameyasema hayo wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na urais unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Msama anasema karipio hilo linawahusu pia viongozi wa dini wakiwamo Wachungaji na Maaskofu ambao wanaonesha nia ya kutaka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s72-c/IMG_5530.jpg)
MSAMA PROMOTIONS YATANGAZA VITUO VYA KUUZIA TIKETI ZA TAMASHA LA PASAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-domyiy4OR0o/U07PM9WWiEI/AAAAAAAFbVE/ruNTKCxjGTo/s1600/IMG_5530.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama tiketi hizo zitauzwa katika vituo vitano kwa lengo la kupunguza usumbufu kwa mashabiki wenye nia ya kushiriki tamasha hilo.
Msama alitaja vituo vitakavyouzwa tiketi hizo ni pamoja na Puma Mwenge na Uwanja wa Ndege, Best Bite Namanga, BM Kinondoni na ofisi za Msama Promotions...