MSAMA AWATAKA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI KUFANYA KAZI YA MUNGU NA SI MAMBO YA SIASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UrhBlDTdDps/VVeiK5czS2I/AAAAAAAHXqo/XjIfaNT930I/s72-c/DSC_8730.jpg)
MKURUGENZI wa Kampuni ya Msama Promotions ambayo ndio inaandaa matamasha ya Pasaka na Krismasi, Alex Msama amekemea waimbaji wa muziki wa Injili Tanzania kufanya kazi ya Mungu na kuachana na siasa ambazo zinawaondoa kwenye uinjilishaji.
Msama ameyasema hayo wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na urais unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Msama anasema karipio hilo linawahusu pia viongozi wa dini wakiwamo Wachungaji na Maaskofu ambao wanaonesha nia ya kutaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 May
MSAMA ATENGANISHA WAIMBAJI WA INJILI NA SIASA.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/2210.jpg)
Msama ameyasema hayo wakati tukielekea kwenye uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na urais unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Msama anasema karipio hilo linawahusu pia viongozi wa dini wakiwamo Wachungaji na Maaskofu ambao wanaonesha nia ya kutaka...
10 years ago
GPLVEGA-CAPPELA, WAIMBAJI WA INJILI WASIOTUMIA ALA ZA MUZIKI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm2R5XEZ7-kbRyEthPdAyHlP9tnc4*Dx4TI-pPxcrWSjEtm1nytDk-iduviCYelA-H48p5-xQ35ZvP8qa4qQ0dPU/mike_tee_trans.png?width=600)
MIKE TEE AANDIKA BARUA YA WAZI KWA WAIMBAJI WA MUZIKI WA INJILI NCHINI
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ajitambulisha kwa watumishi, awataka kufanya kazi kwa bidii
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI – AWATAKA KUFANYA KAZI KWA BIDII
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Waimbaji Injili waaswa
WAIMBAJI wa muziki wa Injili wametakiwa kurudia umoja na upendo aliowaachia Yesu ikiwa ni pamoja na kuzidi kumtumikia Mungu, kwani hawajui vilivyo mbele yao. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na...